Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,760
Inamaana ni yale majani--- hahahaahahahaahahahahah.......alikuwa anamkimbiza Boban!!!:mvutaji:
Inamaana ni yale majani--- hahahaahahahaahahahahah.......alikuwa anamkimbiza Boban!!!:mvutaji:
Nipo kijana, mambo mengi tu, si unajua tena, mihangaiko ya hapa na kule. Madogo wa YANGA wanatupelekesha.
Toto siyo kwamba wana cheza mpira wa kutisha sana ila wanapokutana na simba hukamia sana matokeo yake tusipo jipanga wanaweza kutupiga nyingi...hizi timu za tanzania kama zingekuwa zina cheza mpira mzuri kama zinapokutana na simba au Yanga naamini soka letu lingekuwa juu sana....Hii mechi simba tukijipanga tuna wafunga tu lakini kama tutakaa vibaya 4 zinatuhusu....
We usieme hivyo subiri dakika90 ndo utawajua simba siyo kama yanga walikuwa ICU ndo leo naona wameanza kunywa uji wa mcheleSimba miti ya baiskel yake imeanza kuchoka .
nauza nini!??vp unauza shing' ngapi?
Mgonjwa amepata nafuu kwa leo lakini mechi inayofuata atarudi tena ICUBasi ushindi kwa yanga leo ni zaidi ya goli 4....
nauza nini!??
afadhali Yanga ishinde ili mashabiki wa yanga wawe wanachangia.....hahahahNimeipenda hii. Safi sana.
mmepakatwa mnahasila eeeh!sura labda
moto hatuuzimi huuuu na afadhali mfungwe tuuu!afadhali Yanga ishinde ili mashabiki wa yanga wawe wanachangia.....hahahah
afadhali Yanga ishinde ili mashabiki wa yanga wawe wanachangia.....hahahah
mmepakatwa mnahasila eeeh!
kumbe kelele zoote zile hapa ndo mwisho wa mbio zenu, HAMTAKI UBIGWA MNATAKA NGAO TUUU!!??nyie mmepakatwa mara ngapi mkuu?
Vipi utakubali lile jina lenu magamba?...ujue tuna wadai jengo na uwanja zilijengwa kwa pesa za kifisadi kupitia Manji(kagoda)....hahahahaahahahmoto hatuuzimi huuuu na afadhali mfungwe tuuu!
kumbe kelele zoote zile hapa ndo mwisho wa mbio zenu, HAMTAKI UBIGWA MNATAKA NGAO TUUU!!??