M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,201
- 23,030
Aisee tunakwenda na mwendo wa moja moja tu, vipi timu yetu haijakaa vizuri bado!?
timu yenu kama hajikaa vizuri stage hii, mnategemea kufika kokote kweli msimu huu? maana huwa mna-collapse (kama arsenal vile) ligi inavyoelekea ukingon!!
wenzenu yanga wamezoea kuwa slow starters miaka yote (kama mani yu vile) lakini wana-end up kuwa machampioni!