Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Full time: Yanga 2-1 Africa Lyon; Magazeti ya Yanga kesho utayasikia 'Yanga yaanza ligi'

Yanga ni timu ya kwenye magazeti, subiri hiyo kesho uone:
"Yanga yaua"
"Yanga yaanza ligi kwa kishindo"
"Simba wajiandae kwa kichapo"
nk.
 
Naam VPL-Tanzania leo timu kongwe ziko uwanjani: kama kawa Simba itaendeleza rekodi yake ya kutofungwa! lakini Yanga moto iliouwasha juzi utaendelea kuwaka au utazimika!!!! twende zetu uwanjani.
 
Naam VPL-Tanzania leo timu kongwe ziko uwanjani: kama kawa Simba itaendeleza rekodi yake ya kutofungwa! lakini Yanga moto iliouwasha juzi utaendelea kuwaka au utazimika!!!! twende zetu uwanjani.
<br />
<br />
mkuu,naangalia game ya england,nipo na kimeo changu mkonon hapa,plz tujuze updates za gemu hz za bongo,
 
Back
Top Bottom