Cynic
JF-Expert Member
- Jan 5, 2009
- 5,144
- 1,655
Ashanti Utd 1-0 Simba SC
Siku zote huwa naamini Kibaden ni tactician mzuri sana
Ashanti Utd 1-0 Simba SC
ashati 1, simba hawajapata kitu.
Mbeya city leo wametolewa bikra...lazima wawe wakali...
Mpira umeisha
Mbona nasikia kipande hiyo refa ni mtata sana...anaonesha upendeleo dhahiri shahiri kwa Azam.
Uwanja wa Taifa Simba 0 - Ashanti 1.
Mpira umekwisha.
Mbona nasikia kipande hiyo refa ni mtata sana...anaonesha upendeleo dhahiri shahiri kwa Azam.
goooooooooooo bocco jb19Mbeya City 1-2 Azam FC, "FT"
JKT Oljoro 1-2 Yanga SC,
Ashanti Utd 1-0 Simba SC "FT"