Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 9,871
- 32,687
Nimetoka kuongea na wachezaji wa jkt ruvu wamenambia kandambili hawatoki leo!
Tutatoka hata kwa njia za panya.
Nimetoka kuongea na wachezaji wa jkt ruvu wamenambia kandambili hawatoki leo!
Jirani msimu huu muachie ramba ramba tu yuko vizuriTutatoka hata kwa njia za panya.
ungewauliza lini waliwazuia YANGA huu msimu.
Haya tupo tunasikilaza itakuaje hapa hapa isiwepo kukimbiana tena
Cc Bantu lady
#Ndanda kwa roho safi!
Na leo kuna uwezekano wa kuzidi hizo 4!Mara ya mwisho ilikuwa Nov. 1, 2013 walikula 4-0, naweka sawa kumbukumbu tu.
kilalaheri Yanga katika harakati zetu za kutetea ubingwa
mkuu hao stand, mm nawataka wakomae kwenye ligi, sio msimu mmoja zen wanashuka.Bila kuwasahau Stand United, watukutu wa Shinyanga.
Wapenzi wa Simba ndiyo wanaonekana, jana wamepata sare (ushindi wa Simba)
#Ndanda kwa roho safi!
Ni ujinga mtupu kwa hao simba, kukubali kutocheza mechi za kimataifa kisa kukamia mechi moja dhidi ya yanga tu, kweli mbumbumbu fc ni shida!!yani yanga wakae wakijua mechi yanw ngumu ni ya simba! Simba kabakiza mechi moja tu msimu huu na yanga, hapo ndipo wanaosema simba hamna kitu watapata jibu..mpira fitna.
mkuu hao stand, mm nawataka wakomae kwenye ligi, sio msimu mmoja zen wanashuka.
mm nawaombea kila la kheri! baada ya toto kuniangusha.
Nimetoka kuongea na wachezaji wa jkt ruvu wamenambia kandambili hawatoki leo!