Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
YANGA YAONYESHA KIWANGO CHA HALI YA JUU yafa kiume!yazidiwa goli moja tu!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Leo kwa mara ya kwanza simuoni mtu anayeitwa Makoye Matale katika threads za VPL updates

Rejea posts zangu hapo juu, nipo sana. Game limeenda vibaya pale Mkwakwani., refa kajitahidi sana kutusaidia lakini hatukumpa ushirikiano. Hata hivyo tunayo matumaini ya kutetea ubingwa wetu. Azam akitoa sare na Ruvu Shooting na MCC tutakuwa tumepeta vinginevyo tukubali Azam wametisha mwaka huu.
 
Rejea posts zangu hapo juu, nipo sana. Game limeenda vibaya pale Mkwakwani., refa kajitahidi sana kutusaidia lakini hatukumpa ushirikiano. Hata hivyo tunayo matumaini ya kutetea ubingwa wetu. Azam akitoa sare na Ruvu Shooting na MCC tutakuwa tumepeta vinginevyo tukubali Azam wametisha mwaka huu.
AZAM itoe sare kwani watakuwa wamesimama uwanjani au? Halafu tunawapiga tena 19 April.
 
Rejea posts zangu hapo juu, nipo sana. Game limeenda vibaya pale Mkwakwani., refa kajitahidi sana kutusaidia lakini hatukumpa ushirikiano. Hata hivyo tunayo matumaini ya kutetea ubingwa wetu. Azam akitoa sare na Ruvu Shooting na MCC tutakuwa tumepeta vinginevyo tukubali Azam wametisha mwaka huu.
thanks dude kwa kulitambua hilo..
 
Sijui magazeti yao ya Mwanaspoti na Champion kesho yataandikaje.

Siku ya leo ni kiboko hadi Masuke kajitokeza hadharani licha ya Simba kufungwa. Naamini kabisa Mungu kaamua kuwafurahisha Azam na Simba kwa muda huku akiwa amepanga Yanga ndiye bingwa. Furahini kwa muda ili mje mlie mwisho wa ligi.
 
Last edited by a moderator:
Siku ya leo ni kiboko hadi Masuke kajitokeza hadharani licha ya Simba kufungwa. Naamini kabisa Mungu kaamua kuwafurahisha Azam na Simba kwa muda huku akiwa amepanga Yanga ndiye bingwa. Furahini kwa muda ili mje mlie mwisho wa ligi.

teh teh haituhusu.
#AzamFor2014
 
Last edited by a moderator:
Yebo yebo mwambieni Baraka Kizunguto na Akili ni Mali wawashe simu zao maana Shabiki wenu Maulid Kitenge wa Radio One anawatafuta.
 
Akili za kumpigia mhindi magoti ongeza na zako wacha ubwege.Kwa mechi za kununua ndio. Leo mmebebwa mpaka Mahiga mbeleko ikamshinda.
 
Back
Top Bottom