safari njema mkuu!
Updates utazipata hapa hapa. JF.
Ilikuwa kuwakomoa simba waliomuacha...
natamani ningekuwa simba mkuu maana nyie maumivu mlishayazoea!
Poa kiongozi inatutosha mby derby ukiendelea kushabikia yanga na simba utabadilisha jina bure ujiite Nkikulu! Azam kashinda 2 kwa 1 FT
kocha amewekeza nguvu kwa ajili ya yanga utafikiri ameajiliwa kwa kazi ya kuifunga yanga!anashindwa kuifunga simba anaisubiri yanga!Subiri utakapokutana naye...!
Yanga anakula kirungu cha ugoko! Sema Tanzania tunapenda kuona bingwa si Yanga au Simba ila tatizo linakuja wasiwasi wangu Azam kushinda ubingwa kuna kitu kinaendelea malipo flani..... Si Kama enzi za Pan African hii Azam itashinda kwa jeuri ya fedha tu bora hata Mbeya.
kama ningekuwa nafasi ya kushirikishwa katika maamzi toka ile mara ya kwanza asingekuja yanga!