Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Walisema amesajiliwa kwa mechi za kimataifa, sijui mechi ipi amecheza?
Hakuna lolote, walitaka kuikomoa Simba baada ya kusikia anataka asajiliwe dirisha dogo. Kuna mchezaji mwingine anaitwa Shabani Kondo, Yanga walimuiba kwenye mazoezi ya Simba wakamsainisha fomu za usajili usiku wa manane, matokeo yake hajapangwa hata mechi moja hadi hivi sasa! Yanga wafuate ushauri wa benchi la ufundi katika kusajili, sio kama sasa Bin Kleb anaona fahari kutembea na briefcase yenye hela kutafuta wachezaji wa Simba!
 
Hivi inawezekana kweli azam akamaliza ligi bila kufungwa?

sokoine lazima akae akija.
 
twende bhana tukaone spurs anavyokalishwa huku biashara hakuna

Twendeni bwana, hapa imeshakuwa upumba.vu timu inaburuza mkia huko inakuja kuponea kwetu?! Kaseja sasa hata uondoke, mission completed!
 
93' Mgambo goalkeeper, Tony Kavishe is booked for time wasting. Mgambo 2- 1 Yanga
 
Ndomyana vipi mbona kimya au ndo maumivu ya tim yako ya yanga kwani ulisema hata kama kuna tim ya ukoo utashabikia yanga
 
game la Yanga vp jamani km amepigwa niendelee kusheherekea
 
Yanga walipotolewa na Al Ahly walisema hasira wanazihamishia ligi kuu. Leo wamefungwa utasikia wanasema hasira tunazihamishia kwenye mechi ya Simba. Halafu watafungwa na Simba tusubiri watasema hasira wanazihamishia kwa nani (naomba isije ikawa kwa YM)!
 
Back
Top Bottom