Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,099
- 12,919
game la Yanga vp jamani km amepigwa niendelee kusheherekea
Kapigwa....
game la Yanga vp jamani km amepigwa niendelee kusheherekea
alikuwepo akapotea....Leo kwa mara ya kwanza simuoni mtu anayeitwa Makoye Matale katika threads za VPL updates
game la Yanga vp jamani km amepigwa niendelee kusheherekea
Kapigwa....
Wazee wa Alexandria & Uturuki wamefungwa na mgambo wa Handeni (tena wakiwa 10!). Bora na sisi tulifungwa na Mgambo 11
Ndomyana vipi mbona kimya au ndo maumivu ya tim yako ya yanga kwani ulisema hata kama kuna tim ya ukoo utashabikia yanga
Hivi inawezekana kweli azam akamaliza ligi bila kufungwa?
sokoine lazima akae akija.
Ndomyana vipi mbona kimya au ndo maumivu ya tim yako ya yanga kwani ulisema hata kama kuna tim ya ukoo utashabikia yanga