Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
mwe tunashukuru wana wa kunyumba....mungu awabariki mzidi kusonga mbelee
 
Kwan tofauti ya point kati ya yanga azam na wale vijana wa green city ni ngap? Na wamebaki na mechi ngapi?
 
leo timu yetu imecheza mpira mbovu kabsaa,haukuwa na ufundi wowote,tumecheza butua butua,nlikua nashindwa kujua yanga ilivaa jezi za bluu ama njano na kijani,kosa kubwa tuliiga mpira wa mgambo na tulikua tuna pressure sana cjui nini tatizo,anyway ndo mpira ndo matokeo.
 
Simba hawana uwezo wa kumuachia azam fc kile tulichoona pale ndiyo uwezo wao wa juu kabisa. Azam fc mabadiliko ya kweli soka la kweli karibuni chamazi tusherekee
 
Tunapokuja mbeya city,tupewe na kombe letu kabisa!

Viva azam fc_mabingwa wapya!
 
hahahahahahahahahahhaha,kuliko hao kandambili heri Azam wachukue tu hiyo ndoo
 
Back
Top Bottom