Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Dk 37 mkwakwani bado bila bila jamani wana azam 2iombee team yetu. ili 2hakikishe hapiti m2 hata kwa mda2 au vp Mazee?

Timu yenu haina rekodi ya kufanya vizuri ugenini, jeuri yenu iko Chamazi, sijui ni kwa nini! Huenda kuna bahasha huwa zinatembezwa kwa timu ngeni.
 
AZAM COME ON! SI NDO MABINGWA!!

Twende sasa chama langu!! hao mgambo watakaa tu.
 
Hahahahahahaha.
Cc ndetichia [MENTION=9576]Masuke[/
MENTION]
Mimi nipo nafuatilia tu mnavyojidai na timu zenu huku nikiburudika na wimbo mmoja wa Franco Luambo Makiadi unaenda wa jina la Kimpa Kisangameni.
 
Last edited by a moderator:
Leo ligi kuu ya vodacom inaendelea uku macho na masikio yakiwa uwanja wa Taifa pale Yanga (mabingwa watetezi) itakapo pambana na Prison ya Mbeya (wajelajela) huko Tanga Wanajeshi wa JKT Mgambo ya Handeni wataikalibisha Azam FC vinara wa ligi.

Mkuu Mkalikenye, usianzishe uzi kama huna uwezo wa ku update hasa suala la magoli kadri muda unvyoenda. Mtu akifungua inatakiwa aone hayo hapo mwanzo kabisa. Kama hujui namna uliza. Kifupi unarudi kwenye thread yako na ku-edit ili kuweka latest information
 
Mimi nipo nafuatilia tu mnavyojidai na timu zenu huku nikiburudika na wimbo mmoja wa Franco Luambo Makiadi unaenda wa jina la Kimpa Kisangameni.

Mkuu Masuke tumekumiss sana kumbe upo! Asante angalau kwa hiyo post yako, msimu huu hamna raha muda wote na kama ni Old Traford au Emirates hapo ni majanga zaidi.
 
Last edited by a moderator:
Watu gani hao Mkuu?
attachment.php
 
Back
Top Bottom