wewe unangangania Azam ichukue kombe wakati hapo juu hujaipigia kura...Mkuu pole sana, me natamani sana Azam ndo wachukue ili kombe kuz hizi simba na nyanga ndo zinaua soka la hapa kwetu.
Dakika ni ya 25 bado milango ni migumu, Yanga leo hakuna 6...
Yanga na Polisi Tanzania na mpaka sasa Yanga anaongoza kwa goli 1He kumbe leo kuna game mkubwa? Yanga na nani?
Mwape anawanyanyua wapenzi wa yeboyebo....
ni watani zangu, jamaa anaonekana yuko vizuri nahuyu Idd Mbaga nae yuko kwenye fomu kweli.....tatawaona kwenye mechi za kimataifa weekend hiiHahahahah . . . . Kaka wewe hufai kuwa mtangazaji, coz una lugha za dhihaka. Hata Nkamia ana nafuu. Bao la 4 la Mzambia ktk mechi 2 tu. Akiendelea hivi itamchukua mechi 5 tu kumpita Mwaikimba wenye magoli 7
na mpira umekwisha..mwape 2 na polisi tanzania 0
Poleni sana Simba na pole pia iende kwa Ivuga
Dakika ya 39, Azam FC 2 na AFC 0