Digaller
JF-Expert Member
- Oct 20, 2009
- 844
- 698
John Boko anaipatia Azam goli la 3.... daaaaaaaah hii noma sasa
Yatarudi kaka. Endelea kutujuza
John Boko anaipatia Azam goli la 3.... daaaaaaaah hii noma sasa
ni vigumu sanaYatarudi kaka. Endelea kutujuza
ni vigumu sana
wasiwasi wangu ni mechi ya kimataifa inayokuja kwa mpira huuNdiyo mpira jamani, hata Barca wiki iliyopita kala tatu, ni sehemu ya matokeo ya mpira tu
wasiwasi wangu ni mechi ya kimataifa inayokuja kwa mpira huu
Ngonja nijitahidi kushabikia kidogo maana siwezi kuacha kushabikia....Mkuu ukishabikia sana mpira wa bongo utapata presure bure! mpira wa bongo unachezwa sana kwenye radio na magazeti lakini uwanjani hamna kitu!
Mkuu ukishabikia sana mpira wa bongo utapata presure bure! mpira wa bongo unachezwa sana kwenye radio na magazeti lakini uwanjani hamna kitu!
Ngonja nijitahidi kushabikia kidogo maana siwezi kuacha kushabikia....
Mpira umekwisha na Azam FC imeondoka na pointi zote 3 na magoli 3 zidi ya goli 2 za Simba...........
Mkuu pole sana, me natamani sana Azam ndo wachukue ili kombe kuz hizi simba na nyanga ndo zinaua soka la hapa kwetu.Mpira umekwisha na Azam FC imeondoka na pointi zote 3 na magoli 3 zidi ya goli 2 za Simba...........
Yatarudi kaka. Endelea kutujuza
Mkuu pole sana, me natamani sana Azam ndo wachukue ili kombe kuz hizi simba na nyanga ndo zinaua soka la hapa kwetu.