Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Kicha cha habari yako ni kizuri ila maelezo yako ni TAKATAKA ngoja nikunyooshe. Mabingwa watete ya wa ligi kuu bara leo wanaumana na amzam fc, ambapo azam wanaongoza ligi hiyo kwa ponti 4 juu kwa anae mfuata ambae in young afrika pamoja kuwa na kipolo cha mechi mbili.Young ananafasi kubwa kuchukuwa kombe hilo tena.YOUNG WOYE...!
 
Najiandaa kwenda kuwahi seat pale Serengeti pub!! leo kandambili anakaa kabisa!
 
Azam lazima atulizwe tuli leo aiache Yanga ikwee taratiiiiiiibu
 
Yaani kandambili mlichopata kule alexandria leo mtapata mara 2 yake.

Tunajua nyie mlisharogwa misri kwa hiyo ni vichaa tayari,azam fc tunawaroga tena leo bila huruma!

Inaitwa chizi kalogwa tena leo!!
 
hizo ni ndoto tena ni za mchana,si unajua yanga kama ni watalam wa kutoa bikra? waulize mbeya city watakuambia
Nilidhani nimuulize Simba, kumbe Mbeya city? Mbeya city ana historia gani ktk ligi kuu? Ngojeni tuwafundishe mpira.
 
Back
Top Bottom