Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
KITOABU nakushauri usisahau kubeba panadol ili kupunguza maumivu pindi jahazi la lamabalamba litakapoporomoka,ni ushauri tu mkuu!.
Nakuomba usiondoke humu mpaka dakika 90 zinaisha. Yanga nikama sinema ya kihindi tu. ( Copy to Julio)
 
Ilitakiwa ianzishwe thread mpya kuutendea haki mtanange wa leo.
 
Hivi kandambili mlibana sasa mnakubali game zenu kuoneshwa azam tv.

Azam tv kama supersport. Magari ya timu ndo yanaonekana yakiwasili uwanjani.

Ambulace ipo!
 
Back
Top Bottom