mutagaywa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 891
- 190
A see mm mwenyewe imenituka natoka quality centre imeninyeshea vibaya nimepita tzr pemben na kituo cha polisi maji yamejaa had I bajaji moja ilikuwa imebeba abilia manusula iwabwage kwenye dibwi fulan kama wasingekuwa vijana kujitolea kuivuta kwa nyuma da ni sheeda kwel