Updates: Mkutano wa CHADEMA Njombe

Updates: Mkutano wa CHADEMA Njombe

wazo la kuwa na media ya chama ni muhimu sana.... Kula like 1000 mkuu, lakini mkuu hivi sheria zetu zinaruhusu hilo kwa vyama vya siasa kumiliki rasmi media.. Yaani media hii iwe brand kabisa kwa chama fulani.. Karibu kama unafahamu chochote
..miaka mingi tulikuwa tunapiga kelele kuwahimiza cdm waende vijijini wakazungumze na wananchi wa kawaida. Kwa mikutano hii nadhani ushauri huo umezingatiwa. Kuna mapungufu ya hapa na pale, lakini hali inatia matumaini.

..kuna suala lingine ambalo tumekuwa tukilipigia kelele haswa ndugu yangu nguruvi3. Kwamba kampeni za uchaguzi zitakuwa rahisi zaidi kama chadema watakuwa na redio inayosikika nchi nzima. Hili tunaendelea kuwahimiza viongozi wetu walifanyie kazi haraka iwezekanavyo.

Cc mkandara, freeland, rose mayemba, chademakwanza
 
KABISA KABISA, SASA WALE WENYEVITI WA MITAAA WAHAKIKISHE WANAFANYA MIKUTANO NA WANACHI WAO KILA WKND, ILI KUTATUA MATATIZO YAO, THEN IFUATE KATA, KIJIJI PIA WAIGE HILO.... KAMA TUNA WATU KILA SEHEMU, NI VYEMA CHAMA KIKASAMBAAA KABISA CHINI HUKO...[QUOTE=Freeland;12537851]sasa hivi ni kitongoji kwa kitongoji......mtaa kwa mtaa...inawezekana

Tuna viti vya kutosha vya serikali za mitaa nchi nzima kiasi cha kufanya kampeni za nyumba kwa nyumba[/QUOTE]
 
vita ni vita muraaa.. Hatuwezi kuacha mchuzi eti kwa kukosa pilipili.... Chadema ni taasisi kubwa, first class mistake ni kulinganisha taasisi, na ka mradi ka mtu mmoja... Chadema mwendo mdundo... Mdeee tunamtaka jukwaani next weeek, peopleeeeeee........ Patrobasi katambi ajipange, naye next week ni kijiji kwa kijiji.. Hakuna mtu kukaaa ofisi, rasilimali zipo zakutosha... Hatusubili hisani. Chama kinajimudu na wanachama hai wapo...

Mkuu Eistein taratibu basi kamanda, lumbumba na vibaraka vyao wakisikia hii matumbo yatahara full, hapa yenyewe hawajiwezi wako full taabani.

Makamanda wamejipanga sasa ni piga kote kote, lazima kila mtanzania asikie neno la ukombozi. Come october 2015, ukombozi kamili utapatikana

viva CHADEMA, peopleeeeeez!
 
Last edited by a moderator:
..miaka mingi tulikuwa tunapiga kelele kuwahimiza CDM waende vijijini wakazungumze na wananchi wa kawaida. kwa mikutano hii nadhani ushauri huo umezingatiwa. kuna mapungufu ya hapa na pale, lakini hali inatia matumaini.

..kuna suala lingine ambalo tumekuwa tukilipigia kelele haswa ndugu yangu Nguruvi3. kwamba kampeni za uchaguzi zitakuwa rahisi zaidi kama Chadema watakuwa na redio inayosikika nchi nzima. hili tunaendelea kuwahimiza viongozi wetu walifanyie kazi haraka iwezekanavyo.

cc Mkandara, Freeland, Rose Mayemba, Chademakwanza

Mkuu kuna changamoto nyingi sana katika kuanzisha redio...

TCRA hawataruhusu hii redio ya CHADEMA....

Wala haigharimu pesa nyingi kwa chama kama CHADEMA....200 Mn inatosha kuanzisha kituo cha Redio kizuri tu

Tatizo lipo TCRA ambao kamwe hawatatoa hizo frequency.....Normal tendering process hua inatumika kutoa frequency
 
operation iliyopigwa kishapu kwa fisadi nchambi haitoshi naomba uongozi upange tena mashambulizi zaid kishapu.eg.mwamalasa,masANGA,ndoleleji,mwamaduru na kwngne kote ccm imetukifu
 
wazo la kuwa na media ya chama ni muhimu sana.... Kula like 1000 mkuu, lakini mkuu hivi sheria zetu zinaruhusu hilo kwa vyama vya siasa kumiliki rasmi media.. Yaani media hii iwe brand kabisa kwa chama fulani.. Karibu kama unafahamu chochote

..inawezekana sheria inaruhusu.

..nasema hivyo kwa kuzingatia kwamba CCM na ndiyo wamiliki wa gazeti la Uhuru.
 
Mwaka huu Kinana kachoka kukamua Ngombe na kumwagilia mashamba ,huku akijenga bila kuwa fundi na ndio maana majengo yanaporomoka huko alikojenga madarasa ........sijui wamepotelea wapi , namuona Mangula akitafuta kiki inabidi Slaa amwage nyaraka zake na Kaghenzi ili Mangula aendelee kujificha .......CHADEMA inasonga upende usipende.....
 
..miaka mingi tulikuwa tunapiga kelele kuwahimiza CDM waende vijijini wakazungumze na wananchi wa kawaida. kwa mikutano hii nadhani ushauri huo umezingatiwa. kuna mapungufu ya hapa na pale, lakini hali inatia matumaini.

..kuna suala lingine ambalo tumekuwa tukilipigia kelele haswa ndugu yangu Nguruvi3. kwamba kampeni za uchaguzi zitakuwa rahisi zaidi kama Chadema watakuwa na redio inayosikika nchi nzima. hili tunaendelea kuwahimiza viongozi wetu walifanyie kazi haraka iwezekanavyo.

cc Mkandara, Freeland, Rose Mayemba, Chademakwanza
Mkuu utanisamehe kwa hili maanake mtazamo wangu ni tofauti kabisa. Chama hujijenga huko huko Vijijini na kuwa karibu na wananchi kila siku. Hii mikutano sii ya lazima kabisa maana wapo leo, kesho wananchi wanaachwa na tumaini pakee. Nafsi yangu naamini katika viongozi within the society yaani kiongozi anakuwa baina yao na mwenye uwezo wa kuwashawishi wananchi juu ya Mustakabali wa nchi yao maana mnategemea kesho huyu ndiye atakuwa na mamlaka juu yao.

Kutembelewa na Viongozi iwe kama alivyokuwa akifanya Mwalimu Nyerere, akianza ziara zake hupita nchi nzima kueleleza misimamo ya chama, maamuzi ya chama na kutazama maendeleo yamewafikia wananchi ama laa. Alikuwa hakosekani katika ufunguzi wa miradi na siasa zinaenezwa kwa vitendo zaidi. Akipata ushauri wa wazee na viongozi juu ya chama na uongozi wake. Matumizi mabaya ya madaraka aliyajua toka kwa wananchi na sio kutafutana mchawi.

Chadema sio chama cha kujitangaza leo wamevuka hatua hiyo wanatakiwa kutazama mahitaji ya wananchi na kutoa ahadi za ushirika wao.Pengine jambo zuri sana niloliona miye ni hili la MNYIKA kupita mikoani na kutoa mafunzo ya uongozi ambalo ni muhimu sana.

Hawa ndio wawakilishi wa kweli na ushindi wa chama katika sanduku la kura utatokana na hawa wala sio maneno ya jukwaani. Jukwaa ni kuishusha CCM, kuonyesha udhaifu wake japo CCM wakitangaza mafanikio yao ili kuwaonyesha wananchi tofauti zilizopo za kimfumo wa sera na utekelezaji wake. CCM itaendelea kupiga bao ikiwa siasa za Chadema bado zitalenga kukiimarisha chama. Ni kipimo gani haswa watakitumia kuona kwamba sasa chama kimeimarika kama sio ushindi ktk sanduku la kura? Na ili upate ushindi mzuri ni siasa gani unatakiwa kuzitumia..
 
POINT TAKEN MKUU, asante Cc. Ben Saanane, Tumaini Makene, John Mnyika, DR. Slaa, ebu lifike hili tulifanyie kazi, harambee moja zinapatikana hata milioni 400 kama ni kweli sheria I wazi tulifanyie kazi , ....[QUOTE=JokaKuu;12537937]..inawezekana sheria inaruhusu.

..nasema hivyo kwa kuzingatia kwamba CCM na ndiyo wamiliki wa gazeti la Uhuru.[/QUOTE]
 
Naendelea kuleta picha.

Anazungumza sasa Mwenyekiti wa mkoa kamanda lulandala

Tunashukuru sana dada,tunafarijika kuona Njombe ikiwa na mwamko kiasu hicho inaleta faraja.Wakati wa ukombozi ni sasa
Twihongedza sana se Mayemba,mngendelage uludodi ulugamu luladenyeka
 
Wakuu,

Kila mtanzania mpenda maendeleo, mpenda haki kwa ajili ya kizazi cha sasa na kijacho ni lazima tuhamasishane kushiriki kikamilifu katika uamuzi wa mustakabali wa nchi yetu hasa kwa kujiandikisha kwenye daftari la kupiga kura na kujitokeza kupiga kura siku ya siku.

Hamasa iwe ni majumbani mwetu, kwa majirani, makazini, shuleni na vyuoni, sokoni iwe ni full kuhamasishana kwa ajili ya kujiandikisha na kujitokeza siku ya siku kupiga kura. Ndicho wanachofanya viongozi wetu hawa wa CHADEMA, ni kutuhamasisha kushiriki kikamilifu katika siasa na mustakabli wa nchi yetu, na ni jukumu la kila mtanzania popote alipo

pepopleeeeeeeeez!
 
operation iliyopigwa kishapu kwa fisadi nchambi haitoshi naomba uongozi upange tena mashambulizi zaid kishapu.eg.mwamalasa,masANGA,ndoleleji,mwamaduru na kwngne kote ccm imetukifu

Lile li Nchambi wana kishapu.tutoleeni lisirudi Bungeni aiseee lina leta laana kwa wana kishapu na nchi
 
mkuu leo umeongea madini, sana hayo yote yako mezani mkuu yanafanyiwa kazi, si unaona sasa tuko vijijini, tuna vijana, tunawakina mama,Mdee next week anaanza ziara zake akiwalenga wamama, tuna RedBrigade, Mnyika, Prof Safari et al anamit na viongozi wa ngazi za chini kabisa..., kuwapa brash kidogo ili waweze kuwahudumia wanachi, now chama kina mamia ya vijiji kinaongoza huko maneno ya ukombozi na mikakati ya maendeleo inasimamiwa na watu wenyewe.,... Sasa mkuu unataka Chadema Mungu awape nini tena mkuu zaidi ya Magogoni, wale ndugu zetu UVCCM IMEKUFA, LILE TAWI LA SOPHIA SIMBA KWISHNEY, KINANA KACHOKA KABISA, NAPE KAAMUA KULA POSHO TU SASA ,NA MKandara kumbuka hii ni awamu ya kwanza tu, kuna amu kama nne zinakuja, CUF nao wanakuja, na NCCR wanakuja, NLD wanasapaoti pia kubwa tu.... so siku zote mkifanya kazi kama team lazima mtafanikiwa tu, lakini wewe ukijifanya mjuaji kila kitu wewe, utaungua na jua tu....[ QUOTE=Mkandara;12537964]Mkuu utanisamehe kwa hili maanake mtazamo wangu ni tofauti kabisa. Chama kinajijenge huko huko Vijijini na kuwa karibu na wananchi hii mikutano sii ya lazima kabisa maana wapo leo kesho wananchi wanaachwa na tumaini pakee. nafsi yangu naamini katika viongozi within the society yaani kiongozi anakuwa baina yao na mwenye uwezo wa kuwashawishi wananchi juu ya Mustakabali wa nchi yao mana kesho huyu ndiye atakuwa namamlak hayo juu yao.

Kutembelewa na Viongozi iwe kama alivyokuwa akifanya Mwalimu Nyerere, akianza ziara zake hupita nchi nzima kueleleza misimamo ya chama, maamuzi ya chama na kutazama maendeleo yamewafikia wananchi ama laa. Alikuwa hakosekani katika ufunguzi wa miradi na siasa zinaenezwa kwa vitendo zaidi.

Chadema sio chama cha kujitangaza leo wamevuka hatua hiyo wanatakiwa kutazama mahitaji ya wananchi na kutoa ahadi za ushirika wao.Pengine jambo zuri sana niloliona miye ni hili la MNYIKA kupita mikoani na kutoa mafunzo ya uongozi ambalo ni muhimu sana.

Hawa ndio wawakilishi wa kweli na ushindi wa chama katika sanduku la kura utatokana na hawa wala sio maneno ya jukwaani. Jukwaa ni kuishusha CCM, kuonyesha udhaifu wake japo CCM wakitangaza mafanikio yao ili kuwaonyesha wananchi tofauti zilizopo za kimfumo wa sera na utekelezaji wake. CCM itaendelea kupiga bao ikiwa siasa za Chadema bado zitalenga kukiimarisha chama. Ni kipimo gani haswa watakitumia kuonakwamba sasa chama kimeimarika kama sio ushindi ktk sanduku la kura? Na ili upate ushindi mzuri ni siasa gani unatakiwa kuzitumia..[/QUOTE]
 
Mkutano umeanza hapa Njombe kwa watu kumiminika kwa kasi. Ila mgeni wetu rasmi Salim Mwalimu naibu katibu mkuu Zanzibar bado hajafika. Ila Kamanda Rozi Mayemba anawatambulisha makamanda mbalimbali.

Salim Mwalimu ameingia sasa picha nitatuma

Naona Zitto amerudisha siasa za picha za mikutano, CDM mmeshavuka hiyo hatua, acheni kupoteza muda.Nyie ni chama kikubwa kilichokomaa, hakuna haja kuonesha wahudhuria mikutano.focus iwe kwenye kuonesha wapiga kura active, kupitia sanduku la kura. propaganda za watu wengi mikutanoni achieni vyama vichanga.

Mnacheza ngoma ya Zitto bila kujijua.


Salimu Mwalimu anashangiliwa sana kwa nondo anazozitoa za busara sana
Anaelezea jinsi wanavyoandamwa. Anatolea mfano tukio la Bariadi la kufyatua risasi
Wanainchi washangilia sana Mwalimu akielezea ratiba ya chadema inavyokwenda
Anazungumzia jinsi mchakato wa katiba ulivyoendeshwa kibabe na kuto kuzingatia maoni ya wananchi

I sincerely hope, he said more.

maana kama nondo ni kusimulia matukio ya hivi karibuni basi hili ni tatizo kubwa sana. naibu katibu mkuu hatakiwi kutoa story za yaliyotokea kwenye mkutano, na nyie JF mtatoa hadithi gani sasa?

This is too low, mwambieni aachane na kutoa simulizi, asijekuwa baada ya mkutano kuisha watu wanakumbuka story zake, badala ya sera za CHADEMA.
 
Mkuu utanisamehe kwa hili maanake mtazamo wangu ni tofauti kabisa. Chama hujijenga huko huko Vijijini na kuwa karibu na wananchi kila siku. Hii mikutano sii ya lazima kabisa maana wapo leo, kesho wananchi wanaachwa na tumaini pakee. Nafsi yangu naamini katika viongozi within the society yaani kiongozi anakuwa baina yao na mwenye uwezo wa kuwashawishi wananchi juu ya Mustakabali wa nchi yao maana mnategemea kesho huyu ndiye atakuwa na mamlaka juu yao.

Kutembelewa na Viongozi iwe kama alivyokuwa akifanya Mwalimu Nyerere, akianza ziara zake hupita nchi nzima kueleleza misimamo ya chama, maamuzi ya chama na kutazama maendeleo yamewafikia wananchi ama laa. Alikuwa hakosekani katika ufunguzi wa miradi na siasa zinaenezwa kwa vitendo zaidi. Akipata ushauri wa wazee na viongozi juu ya chama na uongozi wake. Matumizi mabaya ya madaraka liyajua toka kwa wananchi na sio kutafutana mchawi.

Chadema sio chama cha kujitangaza leo wamevuka hatua hiyo wanatakiwa kutazama mahitaji ya wananchi na kutoa ahadi za ushirika wao.Pengine jambo zuri sana niloliona miye ni hili la MNYIKA kupita mikoani na kutoa mafunzo ya uongozi ambalo ni muhimu sana.

Hawa ndio wawakilishi wa kweli na ushindi wa chama katika sanduku la kura utatokana na hawa wala sio maneno ya jukwaani. Jukwaa ni kuishusha CCM, kuonyesha udhaifu wake japo CCM wakitangaza mafanikio yao ili kuwaonyesha wananchi tofauti zilizopo za kimfumo wa sera na utekelezaji wake. CCM itaendelea kupiga bao ikiwa siasa za Chadema bado zitalenga kukiimarisha chama. Ni kipimo gani haswa watakitumia kuona kwamba sasa chama kimeimarika kama sio ushindi ktk sanduku la kura? Na ili upate ushindi mzuri ni siasa gani unatakiwa kuzitumia..

..mengi uliyoyaeleza ni ya kweli.

..lakini hapa lazima tutofautishe mazingira ambayo CCM walijenga mtandao wao, na mazingira ambayo CDM wanajenga mtandao wao.

..kazi waliyoifanya ni kubwa. pamoja na hayo bado kuna kazi kubwa zaidi mbele ya safari
 
mkuu leo umeongea madini, sana hayo yote yako mezani mkuu yanafanyiwa kazi, si unaona sasa tuko vijijini, tuna vijana, tunawakina mama,Mdee next week anaanza ziara zake akiwalenga wamama, tuna RedBrigade, Mnyika, Prof Safari et al anamit na viongozi wa ngazi za chini kabisa..., kuwapa brash kidogo ili waweze kuwahudumia wanachi, now chama kina mamia ya vijiji kinaongoza huko maneno ya ukombozi na mikakati ya maendeleo inasimamiwa na watu wenyewe.,... Sasa mkuu unataka Chadema Mungu awape nini tena mkuu zaidi ya Magogoni, wale ndugu zetu UVCCM IMEKUFA, LILE TAWI LA SOPHIA SIMBA KWISHNEY, KINANA KACHOKA KABISA, NAPE KAAMUA KULA POSHO TU SASA ,NA MKandara kumbuka hii ni awamu ya kwanza tu, kuna amu kama nne zinakuja, CUF nao wanakuja, na NCCR wanakuja, NLD wanasapaoti pia kubwa tu.... so siku zote mkifanya kazi kama team lazima mtafanikiwa tu, lakini wewe ukijifanya mjuaji kila kitu wewe, utaungua na jua tu....[

Mkuu Eistein, kwa mwendo huu hakika kilichobaki sasa ni CHADEMA kuingia magogoni come october 2015. Wananchi wana imani sana na CHADEMA, wamechoka mfumo wa CCM na serikali yake, sasa wanataka mabadiliko na haya yote wanaona watayapata kwa CHADEMA. Leo hii, CDM iko kila kona ya nchi yetu, mijini na vijijini.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom