Updates: Mkutano wa CHADEMA Njombe

Updates: Mkutano wa CHADEMA Njombe

sindano hiyo ; inawachoma
wapi
kotekote
zitto ni mlima wa moto; chama akina agenda kumbe mpo mnamjadili zito hongera na huyo yakheeeeeeeee

we jamaa wa CCM siku hizi umeacha kuripoti maigizo ya Fisi na Kinana

Siku hizi unamripotia ndugu yenu mliyemtuma
 
Jeshi la mtu mmoja limepotelea kusikojulikana ....aka jeshi la Kiongozi Mkuu.....
 
umeingia juzi kwenye siasa ; kama ujui kuwa msomaji ;sio lazima uchangie
issue yote alikuwa nayo zitto ; ila tulipandisha chat makusudi nccr kupitia kafulila ; tukidhani ukawa ni wamoja
kumbe wanafiki; kipindi kile mbowe hakuwepo alikuja baadar ;baada ya kumsema huku jf.

Usidandie treni kwa mbele utangongwa

Wewe mburula R.B ebu acha kuwa mpuuzi kwenye mambo ya msingi. Mnavyompamba jamaa yenu huyo na uongo mwingi ndivyo anavyozidi kudharaulika. Big up sana kwa kafulila, aendelee kuwa moto na wasaka sifa wasizostahili kama huyo Kabwe ampotezee tu
 
Last edited by a moderator:
Salum mwalimu anahutubia sasa.ameanza kwa kuwashukuru wananchi wa Njombe kwa kuonyesha nia ya dhati ya kuleta ukombozi.

Anasema CHADEMA ni chama taasisi ambacho kimejipanga kila mahali kuhakikisha hakuna MTU wa kitanzania hapati neno la ukombozi.

Anataja vijiji wanavyotoka vingunge wa ccm ambavyo vinamilikiwa na CHADEMA mfano samwel sitta, wasira na wengine wengi
 
saa ya ukombozi ni sasa!! hongera wana-njombe kulitambua hilo!!
 
Salum mwalimu anahutubia sasa.ameanza kwa kuwashukuru wananchi wa Njombe kwa kuonyesha nia ya dhati ya kuleta ukombozi.

Anasema CHADEMA ni chama taasisi ambacho kimejipanga kila mahali kuhakikisha hakuna MTU wa kitanzania hapati neno la ukombozi.

Anataja vijiji wanavyotoka vingunge wa ccm ambavyo vinamilikiwa na CHADEMA mfano samwel sitta, wasira na wengine wengi

He he heee kumekucha!

Tunataka chama makini chenye kujua matatizo ya watanzania kwa ufasaha na chenye majibu ya matatizo hayo. Chama hicho ni CHADEMA pekee kwa sasa
Tunataka chama chenye kueneza siasa za kistaarabu hata kama dola inawabana na kuwanyima haki ya kufanya siasa kwa uhuru. Chama hicho ni CHEDEMA pekee

Watanzania tuwasapoti hawa CHADEMA, kuendelea kuongozwa na maCCM ambayo kwa zaidi ya miaka 50 ya uhuru mambo yako vile vile, kila siku bora ya jana itakuwa sio sawa, hakuna tija. Watanzania tubadilike, tujitokeze kwa wingi kujiandikisha, kupiga kura na kulinda kura.

Peopleeeeeeez!
 
Kiongozi Mkuu aka Ayatoolah, CEO na Mfalme wa ACT! Daaaah huyu jamaa anapenda sana madaraka aloooo

Ameshikilia cheo cha mgombea urais wa ACT wakati hana sifa za kugombea urais kwa mujibu wa katiba ya nchi, inaonyesha alivyo mlevi wa madaraka , anaweza kubeba cheo chochoto mradi awe yeye ndio kiongozi mkuu hata kama hana sifa .....mtu hatari sana huyu
 
..miaka mingi tulikuwa tunapiga kelele kuwahimiza CDM waende vijijini wakazungumze na wananchi wa kawaida. kwa mikutano hii nadhani ushauri huo umezingatiwa. kuna mapungufu ya hapa na pale, lakini hali inatia matumaini.

..kuna suala lingine ambalo tumekuwa tukilipigia kelele haswa ndugu yangu Nguruvi3. kwamba kampeni za uchaguzi zitakuwa rahisi zaidi kama Chadema watakuwa na redio inayosikika nchi nzima. hili tunaendelea kuwahimiza viongozi wetu walifanyie kazi haraka iwezekanavyo.

cc Mkandara, Freeland, Rose Mayemba, Chademakwanza
 
Last edited by a moderator:
Inawezekana mzee wa "Akili kubwa" mfuasi wa mtu "Mwenye akili kubwa" kwenye chama cha Profesa "Mwenye akili kubwa"

Chama cha watu "Wasio Local"
Alaaa kumbe wewe unataka kuongozwa na AKILI NDOGO, ndio maana basi hatutaelewana.
 
chadema kinahatarisha uhai wa ccm na vibaraka wao
 
hivi kwa nini hafanyi mikutano zenji hata kwa jina la ukawa? yeye kila siku bara tu? aombe uraia tumpe
 
vita ni vita muraaa.. Hatuwezi kuacha mchuzi eti kwa kukosa pilipili.... Chadema ni taasisi kubwa, first class mistake ni kulinganisha taasisi, na ka mradi ka mtu mmoja... Chadema mwendo mdundo... Mdeee tunamtaka jukwaani next weeek, peopleeeeeee........ Patrobasi katambi ajipange, naye next week ni kijiji kwa kijiji.. Hakuna mtu kukaaa ofisi, rasilimali zipo zakutosha... Hatusubili hisani. Chama kinajimudu na wanachama hai wapo...
 
Alaaa kumbe wewe unataka kuongozwa na AKILI NDOGO, ndio maana basi hatutaelewana.

Kweli kabisa mzee wa "Akili kubwa" hatuwezi kuelewana...Ninyi mnafaa kuongoza taifa la "Wenye akili kubwa" wale wasio "Local"
 
vita ni vita muraaa.. Hatuwezi kuacha mchuzi eti kwa kukosa pilipili.... Chadema ni taasisi kubwa, first class mistake ni kulinganisha taasisi, na ka mradi ka mtu mmoja... Chadema mwendo mdundo... Mdeee tunamtaka jukwaani next weeek, peopleeeeeee........ Patrobasi katambi ajipange, naye next week ni kijiji kwa kijiji.. Hakuna mtu kukaaa ofisi, rasilimali zipo zakutosha... Hatusubili hisani. Chama kinajimudu na wanachama hai wapo...

sasa hivi ni kitongoji kwa kitongoji......mtaa kwa mtaa...inawezekana

Tuna viti vya kutosha vya serikali za mitaa nchi nzima kiasi cha kufanya kampeni za nyumba kwa nyumba
 
Back
Top Bottom