Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,233
hahahahahhaaJamaani karibuni saaaaana hapa njombe ndo nyumbani hapa mmefika,karibu saaana nadhani ripoti mmepata kuwa ccm viti viwili tu na chadema viti tisa hapa njombe mjini,mama Anne semamba Makinda alienda siku moja kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura,alifika pale aliwakuta watu wamejihimu toka saa 8 usiku,aliwasalimia kama kawaida kamwene,hawakujibu akarudia tena kamwene hawakujibu,akarudia tena mara ya tatu walijibu wawili tu.Akataka atumie usipika na ubunge wake aingie ajiandikishe.wakamgomea wakasema hapa hakuna na nani wala nani ni foleni tu,mara police wakapigiwa simu kuwa pale kunafujo wakajs wakamwingiza akatoka pale kwa aibu saaana,watu hakika wamemchoka wameapa kwa sanduku la kura safari hii akigombea tena harudi bungeni,mambo mawili muhimu yatafanyika 1 kuhakikisha ssm hawatapata nafasi tena ya kumrubuni mgombea wetu,pili watalinda vituo vyote vya kupigia kura mwanzo wa kuanza kupiga kura mpaka mwisho wa kutangaza matokeo,kama walivyo wabana kwenye uchaguzi wa serikali za mitaaaaa !!!
Kamwene baba