Updates: Mkutano wa CHADEMA Njombe

Updates: Mkutano wa CHADEMA Njombe

1429795443775.jpg 1429795443775.jpg 1429795480967.jpg
 
Naendelea kuleta picha.

Anazungumza sasa Mwenyekiti wa mkoa kamanda lulandala
 
  • Thanks
Reactions: jme
Yani Ni Kazikazi, Hatulali Mpaka Ukombozi Umekamilika, Tunafukua Kila Kona Ya Nchi Dr Akianza Kazi Yeye Ni Kufrash Tu.
 
mkutano umeanza hapa njombe kwa watu kumiminika kwa kasi. Ila mgeni wetu rasmi salim mwalimu naibu katibu mkuu zanzibar bado hajafika. Ila kamanda rozi mayemba anawatambulisha makamanda mbalimbali.

Salim mwalimu ameingia sasa picha nitatuma




inatumia muda gani kupiga picha na kutuma
au mpaka adobephotosho itumike ; kuongeza watu wa leo na kampeni ya 2010


kama software aipo ni pm; niwatumie ; ataka watu walikuwa 100 ; wataonekana 17.000
 
kiukweli jamani lazima tuwe wakweli , huu ujio wa Salum Mwalimu ndani ya cdm umeleta chachu ya hatari sana !
 
inatumia muda gani kupiga picha na kutuma
au mpaka adobephotosho itumike ; kuongeza watu wa leo na kampeni ya 2010


kama software aipo ni pm; niwatumie ; ataka watu walikuwa 100 ; wataonekana 17.000
Watu wanasambaziwa upendo. Tulia Salum Mwalimu apulize dawa kwanza. Akimaliza picha tutatupiamo tu
 
Bawacha wako bize balaha, ni kila idara kila kurugenzi kila baraza ni moto.
 
Hakikwanza,

.taarifa hizi zinatia matumaini kwasababu sasa CDM iko active kila pembe ya Tanzania.

..pamoja na habari hizi njema, nina wasiwasi kwasababu sijasikia kina mama wa cdm wakifanya mikutano au harakati za kisiasa hivi karibuni.

..hawa kina mama wasije wakatuangusha. hebu wakumbusheni kufanya mikutano ya hadhara, mikutano ya ndani, pamoja na kampeni za nyumba hadi nyumba.

NB:

..baada ya uchaguzi mkuu wa chadema nilikuwa na matumaini makubwa sana na jumuiya ya wanawake.

..matumaini hayo yalitokana na mchanganyika wa rika ktk viongozi waliochaguliwa.


cc Mkandara, Kimweri, Nguruvi3, Ben Saanane, Chademakwanza

Mkuu mtazamo mzuri huo

Bawacha wabuni namna ya kuwahamasisha wanawake

Ila lazima tukubali CDM sasa ni taasisi kubwa...hata Mwenyekiti wa Mtaa anaweza kufanya mkutano Mkubwa na watu wakawa wengi kumsikiliza
 
Hakikwanza,

.taarifa hizi zinatia matumaini kwasababu sasa CDM iko active kila pembe ya Tanzania.

..pamoja na habari hizi njema, nina wasiwasi kwasababu sijasikia kina mama wa cdm wakifanya mikutano au harakati za kisiasa hivi karibuni.

..hawa kina mama wasije wakatuangusha. hebu wakumbusheni kufanya mikutano ya hadhara, mikutano ya ndani, pamoja na kampeni za nyumba hadi nyumba.

NB:

..baada ya uchaguzi mkuu wa chadema nilikuwa na matumaini makubwa sana na jumuiya ya wanawake.

..matumaini hayo yalitokana na mchanganyika wa rika ktk viongozi waliochaguliwa.


cc Mkandara, Kimweri, Nguruvi3, Ben Saanane, Chademakwanza

Mkuu mtazamo mzuri huo

Bawacha wabuni namna ya kuwahamasisha wanawake

Ila lazima tukubali CDM sasa ni taasisi kubwa...hata Mwenyekiti wa Mtaa anaweza kufanya mkutano Mkubwa na watu wakawa wengi kumsikiliza

Otherwise dont expect any positive comment from Mkandara
 
Last edited by a moderator:
Hii picha gani tena? We gebwe tusiharibiane siku!

mkuu tumeambizana tangu jana kupitia ule uzi wa kamanda chakaza , kwamba mtu kama huyu usihangaike naye , akiona kimya mwenyewe atakimbia , wala huna haja ya kumjibu .
 
Kila la kheri makamanda picha muhimu sana ili ujumbe ufike kwa watanzania wengine
 
inatumia muda gani kupiga picha na kutuma
au mpaka adobephotosho itumike ; kuongeza watu wa leo na kampeni ya 2010


kama software aipo ni pm; niwatumie ; ataka watu walikuwa 100 ; wataonekana 17.000

kumbe ndio maana Act wanajaza nyomi!vp simiyu mlijisahau kutumia hio software?
 
Back
Top Bottom