Rose Mayemba
JF-Expert Member
- May 7, 2012
- 721
- 1,017
Wakuu...
Naibu katibu Mkuu wa CHADEMA Kamanda Salim Mwalimu kutoka zanzibar anafanya yake ndani ya mkoa wa Njombe muda huu
Watu wamefurika kwelikweli.ni kelele kila kona...
Nawaletea kila kinachojiri hapa.
Eee bhana eee ! sasa ni dhahiri TANZANIA BILA CDM haiwezekani .
mkutano umeanza hapa njombe kwa watu kumiminika kwa kasi. Ila mgeni wetu rasmi salim mwalimu naibu katibu mkuu zanzibar bado hajafika. Ila kamanda rozi mayemba anawatambulisha makamanda mbalimbali.
Salim mwalimu ameingia sasa picha nitatuma
TULISHA MALIZA ACT-WAZALENDO; TUKIRUDI TUTAPATA TAARIFA KAMA BUTIAMA.
MAKAMBAKO
![]()
Asante Kamanda Nimeongea na Mdee wanafungulia ya Bawacha Kawe juma mosi saa mbili wakitoka hapo watakua vijijini
Watu wanasambaziwa upendo. Tulia Salum Mwalimu apulize dawa kwanza. Akimaliza picha tutatupiamo tuinatumia muda gani kupiga picha na kutuma
au mpaka adobephotosho itumike ; kuongeza watu wa leo na kampeni ya 2010
kama software aipo ni pm; niwatumie ; ataka watu walikuwa 100 ; wataonekana 17.000
Hakikwanza,
.taarifa hizi zinatia matumaini kwasababu sasa CDM iko active kila pembe ya Tanzania.
..pamoja na habari hizi njema, nina wasiwasi kwasababu sijasikia kina mama wa cdm wakifanya mikutano au harakati za kisiasa hivi karibuni.
..hawa kina mama wasije wakatuangusha. hebu wakumbusheni kufanya mikutano ya hadhara, mikutano ya ndani, pamoja na kampeni za nyumba hadi nyumba.
NB:
..baada ya uchaguzi mkuu wa chadema nilikuwa na matumaini makubwa sana na jumuiya ya wanawake.
..matumaini hayo yalitokana na mchanganyika wa rika ktk viongozi waliochaguliwa.
cc Mkandara, Kimweri, Nguruvi3, Ben Saanane, Chademakwanza
Hakikwanza,
.taarifa hizi zinatia matumaini kwasababu sasa CDM iko active kila pembe ya Tanzania.
..pamoja na habari hizi njema, nina wasiwasi kwasababu sijasikia kina mama wa cdm wakifanya mikutano au harakati za kisiasa hivi karibuni.
..hawa kina mama wasije wakatuangusha. hebu wakumbusheni kufanya mikutano ya hadhara, mikutano ya ndani, pamoja na kampeni za nyumba hadi nyumba.
NB:
..baada ya uchaguzi mkuu wa chadema nilikuwa na matumaini makubwa sana na jumuiya ya wanawake.
..matumaini hayo yalitokana na mchanganyika wa rika ktk viongozi waliochaguliwa.
cc Mkandara, Kimweri, Nguruvi3, Ben Saanane, Chademakwanza
Hii picha gani tena? We gebwe tusiharibiane siku!
inatumia muda gani kupiga picha na kutuma
au mpaka adobephotosho itumike ; kuongeza watu wa leo na kampeni ya 2010
kama software aipo ni pm; niwatumie ; ataka watu walikuwa 100 ; wataonekana 17.000
TULISHA MALIZA ACT-WAZALENDO; TUKIRUDI TUTAPATA TAARIFA KAMA BUTIAMA.
MAKAMBAKO
![]()