Updates: Mkutano wa CHADEMA Njombe

Updates: Mkutano wa CHADEMA Njombe

inatumia muda gani kupiga picha na kutuma
au mpaka adobephotosho itumike ; kuongeza watu wa leo na kampeni ya 2010


kama software aipo ni pm; niwatumie ; ataka watu walikuwa 100 ; wataonekana 17.000

mkuu huku umepotea njia , siasa ni mikakati , siasa si kama njaa kwamba ukila basi umeshiba , siasa ni misingi , kwa jinsi cdm ilivyojitengeneza hata mkidhikiri bila nguo haiwezekani kuibomoa , achana na cdm kabisa endeleeni na njaa zenu .
 
Mkuu mtazamo mzuri huo

Bawacha wabuni namna ya kuwahamasisha wanawake

Ila lazima tukubali CDM sasa ni taasisi kubwa...hata Mwenyekiti wa Mtaa anaweza kufanya mkutano Mkubwa na watu wakawa wengi kumsikiliza

Otherwise dont expect any positive comment from Mkandara
Ahahahaha! wewe Unazi unakusumbua sana lakini nitakuacha kama ulivyo maana sii mara moja wala mbili niliwahi kusema humu JF kuwa nguzo kuu za chama chochote nchini ni WANAWAKE maana hawa ndio walezi wa kweli. na CCM miaka yote imepiga bao kwa kutumia UMOJA wa Wanawake kiasi kwamba nilifikia kupinga chombo hicho kiwe cha CCM badala ya WANAWAKE wote nchini.

Sitoweza waambia wanaChadema chochote maana tayari wameisha hukumu na kusema kweli imenipa picha halisi ya jinsi wanavyofikiri na hata kutoa maamuzi yao. Kwa hiyo sitoshangaa ila kuwatakia kila la kheri..
 
kumbe ndio maana act wanajaza nyomi!vp simiyu mlijisahau kutumia hio software?

sisi uwazi na uzalendo; mtu yeyeto anaruhusiws
na rushwa kubwa hiko kwa kina chenge tunashukuru wametuelewa ;
sisi ndo waibuaji wa escrow
 
1429796580815.jpg wananchi wakiwa wamenyoosha mikono juu kupinga utawala wa kikwete

Mod tusaidie kuunganisha dots
 
sisi uwazi na uzalendo; mtu yeyeto anaruhusiws
na rushwa kubwa hiko kwa kina chenge tunashukuru wametuelewa ;
sisi ndo waibuaji wa escrow

hata aibu hamna,na kafulila aliibua nn?
 
Naendelea kuleta picha.

Anazungumza sasa Mwenyekiti wa mkoa kamanda lulandala
Safi sana, makamanda wanashambulia kutoka kila pembe! hiki sio chama cha mtu mmoja, akiumwa chama nacho kinaumwa, akifa na chama nacho kinakufa
 
hata aibu hamna,na kafulila aliibua nn?

umeingia juzi kwenye siasa ; kama ujui kuwa msomaji ;sio lazima uchangie
issue yote alikuwa nayo zitto ; ila tulipandisha chat makusudi nccr kupitia kafulila ; tukidhani ukawa ni wamoja
kumbe wanafiki; kipindi kile mbowe hakuwepo alikuja baadar ;baada ya kumsema huku jf.

Usidandie treni kwa mbele utangongwa
 
Safi sana chama la ukombozi, Eh bwana naona sasa Tanzania nchi yangu nikupendayo inakombolewa fastaa than I thought. Kwa wenzangu wote, watanzania wote tunaoishi mbali na bongoland kwa sasa tuangalie namna ya kutoa sapoti kwa ajili ya harakati hizi

peopleeeeeeee!
 
tuna mwezi mmoja wewe je? Una miongo mingapi kwenye siasa

Wenzako hao wanaimarisha wewe ndio unaweka msingi! sasa haya mambo lazima kupima! Ili kupata picha kamili aende mwenyekiti pekee hapo hapo njombe na aitishe huo mkutano then ndo useme tulishapita!
 
Wananchi wa Njombe wamemkana Zitto na kusema ametumwa huyo na ccm na kuwa vipigio wamevipata vya kupigia ifikapo 25/10/2015
 
wenzako hao wanaimarisha wewe ndio unaweka msingi! Sasa haya mambo lazima kupima! Ili kupata picha kamili aende mwenyekiti pekee hapo hapo njombe na aitishe huo mkutano then ndo useme tulishapita!

tunamia miguu yote
tunapiga kotekote; na mungu ni mwema alliance aishindwi dunia nzima;
wabunge viti 70 tutapitisha na kushinda
hatuna wasiwasi

sio mnagutuka ofisini kisa zitooooooooo mzitooooooooooo; mnakimbia kimbia

tumeanza kwa shujaaa mkwawa tumemaliza kwa baba wa taifa tupo dar
 
wananchi wa njombe wamemkana zitto na kusema ametumwa huyo na ccm na kuwa vipigio wamevipata vya kupigia ifikapo 25/10/2015

sindano hiyo ; inawachoma
wapi
kotekote
zitto ni mlima wa moto; chama akina agenda kumbe mpo mnamjadili zito hongera na huyo yakheeeeeeeee
 
tunamia miguu yote
tunapiga kotekote; na mungu ni mwema alliance aishindwi dunia nzima;
wabunge viti 70 tutapitisha na kushinda
hatuna wasiwasi

sio mnagutuka ofisini kisa zitooooooooo mzitooooooooooo; mnakimbia kimbia

tumeanza kwa shujaaa mkwawa tumemaliza kwa baba wa taifa tupo dar

Mkwawa alijinyonga na Nyerere ujamaa ulifail na kwa bahati mbaya akafia nje na nchi yake!!
 
Angalizo: hamasisheni watu wajitokeze kujiandikisha na wajitokeze kwa wingi cku ya kupiga kura vingine nyomi hizi hazina maana yeyote na itakuwa kazi bure mazeee..
 
Sitoweza waambia wanaChadema chochote maana tayari wameisha hukumu na kusema kweli imenipa picha halisi ya jinsi wanavyofikiri na hata kutoa maamuzi yao. Kwa hiyo sitoshangaa ila kuwatakia kila la kheri..

CHADEMA wamehukumu nini?

Wamehukumu wapi?

Wamemhukumu nani?

Kupitia Kikao gani?
 
Back
Top Bottom