kaka rusha picha kama una uwezo.Wanafungua kwa dua na ostadh
Naanza kupata wasi wasi
Nadhani intelegensia za mwema leo ziko vizuri,nitashangaa mno zikionyesha uwezekano wa shambulio la alshabab,wakati kwenye msiba wa Kanumba intelegensia hazikuonyesha kama watu watazimia na kupigwa virungu pamoja na kukosa nafasi ya kuaga mwili!
mbona kimya wakuu na sasa ni saa tisa kasoro dakika 22, mkutano haujaanza tu????