Updates: Maombi ya kazi Ngorongoro Creater (NCAA)

Updates: Maombi ya kazi Ngorongoro Creater (NCAA)

Mimi hata SMS sijapata,,,ila naamini sikosi kazi NCAA
Ukweli ni kwamba hakuna aliyeitwa ila msg za kujulishwa kupoklewa kwa maombi hata mm jilpata jumanne usiku saa mbili hivi. nadhani busara ni kua na utulivu na hopefull wiki kesho wataanza mchakato wa kujulisha waliokidhi vigezo tarh za interview. asanteni
 
Ukweli ni kwamba hakuna aliyeitwa ila msg za kujulishwa kupoklewa kwa maombi hata mm jilpata jumanne usiku saa mbili hivi. nadhani busara ni kua na utulivu na hopefull wiki kesho wataanza mchakato wa kujulisha waliokidhi vigezo tarh za interview. asanteni
Ila mimi nilikuwa nafikiri wote ambao mmetumiwa msg mnakizi vigezo ambavyo viliwekwa kwenye nafasi husika kwahiyo kuna asilimia kubwa ya kuitwa kwenye usahili.
 
Ila mimi nilikuwa nafikiri wote ambao mmetumiwa msg mnakizi vigezo ambavyo viliwekwa kwenye nafasi husika kwahiyo kuna asilimia kubwa ya kuitwa kwenye usahili.
Huo ujumbe sio kwamba wameiona bahasha yako tu kwanza!
 
Ongeleni mlotumiwa ila kwa Nini hazikupelekwa wizara ya kazi wao wakachambua n'a kupeleka mamlaka ya ngorongoro ? Apo kama huna Mzazi huwezi kuwa tawi
 
Ameen mkuu,,,,nilituma maombi yangu siku 4 kabla ya deadline

Mimi nilituma siku 10 before tena nilituma mbili ambayo moja nilimtumia rafiki yangu nyingine ilikuwa yangu cha ajabu rafiki yangu katumiwa sms ila mimi sijatumiwa kuna vitu haviingii akilini ila ni budi tu kuacha mengine yapite
 
Mimi nilituma siku 10 before tena nilituma mbili ambayo moja nilimtumia rafiki yangu nyingine ilikuwa yangu cha ajabu rafiki yangu katumiwa sms ila mimi sijatumiwa kuna vitu haviingii akilini ila ni budi tu kuacha mengine yapite
Ohhh God shall give you his blessings for his glory,,
 
Uliyetumia msg ya kuitwa usaili twambie pia unatakiwa ufike tr ngapi na usaili utafanyikia wapi na nafasi ipi uliomba.


Acheni kuleta mizaa kwenye serious issues!!


OVA
 
Ongeleni mlotumiwa ila kwa Nini hazikupelekwa wizara ya kazi wao wakachambua n'a kupeleka mamlaka ya ngorongoro ? Apo kama huna Mzazi huwezi kuwa tawi
Mkuu hapa hakuna tatizo. Sio kila mamlaka au agency za serikali ni mashirika ya umma. Kazi za umma ndio zinapitia utumishi. Ila baadhi ya mashirika yanayo jiendesha yanaajir yenyewe

Mbon hushangai kuona TANESCO wanaajiri wenyewe.

So leo jifunze
 
Mkuu hapa hakuna tatizo. Sio kila mamlaka au agency za serikali ni mashirika ya umma. Kazi za umma ndio zinapitia utumishi. Ila baadhi ya mashirika yanayo jiendesha yanaajir yenyewe

Mbon hushangai kuona TANESCO wanaajiri wenyewe.

So leo jifunze
TRA,TPA mbona mwaka jana wamesimamia utumishi na PSPF na haya pia ni mashirika ambayo yanajiendesha yenyewe na kipindi cha nyuma yalikuwa yanaajiri yenyewe ko lolote linawezekana mkuu kama tu walakini utakuwepo
 
ukichunguza sana haya mambo... tuta taka hata interview za majeshi... zifanyike utumishi... nk... hakuna sehemu isiyo na urasimu.... kuna mdau aliweka uzi hapa akitaka ufafanuzi toka utumishi kwa blanda waliyo ifanya kwa kupachika jina la mtu ambaye hakuwepo... kuna interviw nyingine ilikuwaga ni ya TBS mwaka jana pia, ile screenshot ilitembea sana ktk mitandao ya kijamii... ikionesha kuwa mwenye wastani wa 40s akichukuliwa lakini mwenye wastani wa 50s akiachwa kuendelea na usaili wa pili...

utumishi hakupo clean kama tunavyo aminishwa na kwakuwa wanao hudumu kule ni binadamu kama sisi, sizani kama wapo sahihi asilimia 100...

hacha watende makosa ili na sisi zamu yetu ikija au watoto wetu ndugu zetu... wakija shika hatamu, nazani na sisi tutakuwa na sauti wakati huo....

hakuna linalo shindikana... nyie endeleeni kupaza sauti, mna weza mka sikika ila sisi wengine hacha tuendlee kufukuza mwizi kimya kimya... maana tuna aminishwa kutokana na imani zetu kulalamika ni dhambi...!

Tushukuru kwa kila jambo, kila jambo lina kusudio lake...
 
walimu na madaktari kuna muda wana ajiriwa hata interviw hamna... wao wana pangiwa tu vituo... nazani kada zingine tunge kuwa tuna liona hili ilikuwa ni kulalamikia na kuomba nasi kupangiwa vituo bila interview...

lakini ndio taratibu zimekuwa hivyo... tutafute namna na ssi tushike hatamu ambayo wao wameshika ili tuweze kwenda kubadili pale ambapo kwasasa tunaona pana itaji kufanyiwa marekebisho... hata kama tutakuwa katk nafasi ya maamuzi after miaka kibao mbele.... hakuna kukata tamaaa ni kupambana tu, mpaka aibu ziwashike...
 
Ongeleni mlotumiwa ila kwa Nini hazikupelekwa wizara ya kazi wao wakachambua n'a kupeleka mamlaka ya ngorongoro ? Apo kama huna Mzazi huwezi kuwa tawi
Mhh mkuu unamaanisha tumejisumbua kutuma maombi?
Tena nafas yangu wanahitajika wawili tuu [emoji17] [emoji17]
 
Mimi nilituma siku 10 before tena nilituma mbili ambayo moja nilimtumia rafiki yangu nyingine ilikuwa yangu cha ajabu rafiki yangu katumiwa sms ila mimi sijatumiwa kuna vitu haviingii akilini ila ni budi tu kuacha mengine yapite
Mimi nilituma siku ya pili walipotangaza fasta tu
 
ukichunguza sana haya mambo... tuta taka hata interview za majeshi... zifanyike utumishi... nk... hakuna sehemu isiyo na urasimu.... kuna mdau aliweka uzi hapa akitaka ufafanuzi toka utumishi kwa blanda waliyo ifanya kwa kupachika jina la mtu ambaye hakuwepo... kuna interviw nyingine ilikuwaga ni ya TBS mwaka jana pia, ile screenshot ilitembea sana ktk mitandao ya kijamii... ikionesha kuwa mwenye wastani wa 40s akichukuliwa lakini mwenye wastani wa 50s akiachwa kuendelea na usaili wa pili...

utumishi hakupo clean kama tunavyo aminishwa na kwakuwa wanao hudumu kule ni binadamu kama sisi, sizani kama wapo sahihi asilimia 100...

hacha watende makosa ili na sisi zamu yetu ikija au watoto wetu ndugu zetu... wakija shika hatamu, nazani na sisi tutakuwa na sauti wakati huo....

hakuna linalo shindikana... nyie endeleeni kupaza sauti, mna weza mka sikika ila sisi wengine hacha tuendlee kufukuza mwizi kimya kimya... maana tuna aminishwa kutokana na imani zetu kulalamika ni dhambi...!

Tushukuru kwa kila jambo, kila jambo lina kusudio lake...
Lini tutaingia! Mzimu wa kubebana unatuandama sana bongo, hata hao watakao kuja watabebana
 
Mkuu hapa hakuna tatizo. Sio kila mamlaka au agency za serikali ni mashirika ya umma. Kazi za umma ndio zinapitia utumishi. Ila baadhi ya mashirika yanayo jiendesha yanaajir yenyewe

Mbon hushangai kuona TANESCO wanaajiri wenyewe.

So leo jifunze
Kwa ulichokiandika hustahili kupata hiyo Kaz
 
Back
Top Bottom