Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,059
- 15,528
- Thread starter
- #21
Mm niliomba Post mbili lakini nimejibiwa Post moja Tuungoja tusubiri maana wengne mpka sasa hawajapata sms
Mm niliomba Post mbili lakini nimejibiwa Post moja Tuungoja tusubiri maana wengne mpka sasa hawajapata sms
wengi tumetumiwa msg mm jana saa mbili usiku. kikubwa ni kutulia na kusubri wafanye yao afu watatatujulisha kama walivyoahidi.ngoja tusubiri maana wengne mpka sasa hawajapata sms
Ila wana moyo, kukaa chini na kuwatumia sms watu elfu na kitu kwa kupokea maombi tuHiyo message ni kuonyesha kuwa maombi yako yamepokelewa. The Next message itakuwa in this format " Ndugu ABC tunependa kukufahamisha kuwa umefanikiwa kuitwa kwenye usaili utakaoendeshwa na mamlaka ya Hifadhi ya ngorongoro mnamo tarehe.... mahali fulani.
Au Ndugu ABC tunapenda kukutaarifu kuwa maombi yako yaliyopokelewa hayajakidhi vigezo, usisite kuomba wakati mwingine.
So vijana hiyo ni kuonyesha kuwa maombi yako yamepokelewa tu na si vinginenevyo.
Kuna post nyingine waliandika ni DIRECT ENTRY maana yake nini?Ila wana moyo, kukaa chini na kuwatumia sms watu elfu na kitu kwa kupokea maombi tu
Sikumbuki kuona hicho kitu mkuu, unaweza kuipiga picha uiweke hapa?Kuna post nyingine waliandika ni DIRECT ENTRY maana yake nini?
Means kwamba kazi haihitaji lazima mtu awe na experience. Hata kama ni graduate au fresh from school u can applyKuna post nyingine waliandika ni DIRECT ENTRY maana yake nini?
Mimi niliombaNani aliomba Post ya accounts na ametumiwa sms?
Hiyo ndiyo inatakiwa. Hapa KAZI tuIla wana moyo, kukaa chini na kuwatumia sms watu elfu na kitu kwa kupokea maombi tu
Hiyo ndiyo inatakiwa. Hapa KAZI tuIla wana moyo, kukaa chini na kuwatumia sms watu elfu na kitu kwa kupokea maombi tu
Mamlaka ya hifadhi Ngorongoro imeanza kuchambua maombi ya kazi ambazo zilitangazwa. Tayari wameanza kutuma Text msgs kwa waombaji ambao wanakidhi katika kada walizoomba.
Kama kuna feedback zozote tujuzane kupitia uzi huu.
Usijitese sana kwani bado upo mbali na kuajiriwa!!!Nimetumiwa msg ya kuitwa Interview Ngorongoro creater
Inasemaje?Nimetumiwa msg ya kuitwa Interview Ngorongoro creater