Mungu ibariki Chadema, mungu ibariki Tanzania.
Magwanda msikimbie jamvi keshokutwa
Nimeshtushwa na picha iliyopo kwenye ukurasa wa mbele wa moja ya magazeti ya leo. Mbunge wa Tabora mjini Ismail Aden Rage anapanda jukwaani na Libastola kiunoni.
Mungu amejibu swali gumu ni nani anaeleta vurugu kwenye kampeni za Igunga? Bastola ya nini kwenye mikutano wakati kuna wanausalama weengi hivyo?
CCM NI HATARI JAMANI NI KIFO..
Magwanda msikimbie jamvi keshokutwa
Mbwembwe hizo! msemaukweli ni matokeo ya mwisho.
Wa Jikoni anatonya kwamba 'e CCM yajaga gete'.
Hawana pa kutokea.
Baadhi ya dondoo muhimu:
- Wamama (ambao CCM ndo ina amini ni majuha na mtaji wao) wana msemo wao "Tunakula CCM, tunalala Chadema".
- Vijana watiifu kutoka majimbo ya ukombozi, waliojitolea muda, hali, mali na maisha yao kuhakikisha Chadema kinaibuka kidedea uchaguzi mkuu uliopita, wako kazini Igunga kuhakikisha hachakachuliwi mtu.
- Mkapa kapata mapokezi finyu ya bajaji na pikipiki.
- Kuna kijiji bwana Makufuli alikwenda na kutoa ahadi hewa ya kujenga daraja, ambayo CCM wamekuwa wakiitoa miaka na miaka, but this time around, wananchi walimwambia 'hatudanganyiki,.
- kuna taarifa kwamba baadhi ya vijiji raia wanaikimbia mikutanio ya CCM.
Nawasilisha. Nalala.
Tuonane kesho wakati wa mnyukano wa mwisho.
Nimshukuru Wa Jikoni.
Magwanda msikimbie jamvi keshokutwa
Kwani umeambiwa uchaguzi ni ugomvi, nyie ndiyo mnaoleta siasa za chuki, majungu na fitna. Niombacho mimi haki itendeke ili mshindi awe yule aliyestahili.Magwanda msikimbie jamvi keshokutwa
Mbwembwe hizo! msemaukweli ni matokeo ya mwisho.
Mwita25 mbona huna aman hivyo?
Magwanda msikimbie jamvi keshokutwa
Nawatakia cdm kila la kheri.