Elections 2010 Updates Kutoka Jikoni Igunga, saa 5 Usiku

Mchuano ni mkali wandugu, lolote laweza kutokea. Tusitoe nafasi ktk pande yoyote. Ila tuwasihi hawa nduguzetu magamba wasiinitiate fujo halafu watoe lawama kwa wapinzani. MUNGU IBARIKI IGUNGA.
 
Mungu ibariki Chadema, mungu ibariki Tanzania.

Mkuu, Mungu ni wa wote, kwenye ili Mungu anatuachia viumbe vyake tutumie akili zetu alizotupa ndio zituongoze kwenye mambo yetu, binadamu sio kama Nyumbu!
 
Me niko huku jikoni na ni kamanda wa operation kata ya Ziba ambayo ina vijiji v3..Hapa 2mewakaba magamba vilivyo na 2na ushind wa 93%...mkutano wa jana ulifunika balaa na ndo 2kawa 2memaliza kabisa.Huku kuna slogan Kashindye (CDM) ashinde,Kafumu (Magamba) afumuliwe na Mahona (Bi mdogo wa magamba) atakiona...Pipooooooooooooooooozi..
 
Kwa wakati huu ambapo Wa-Tanzania Wana-Igunga wanaelekea kwenye kujiamulia hatima ya jimbo lao na uongozi wake mpya, je tutarajie idadi gani ya BASTOLA na silaha nyinginezo zitakazodandia kwenye viuno vya ma-kada wa vyama mbali mbali kiunoni, katika mazingira ya uchaguzi kama ambavyo chombo kama hicho kisichozoeleka wachoni mwetu sie Wa-Matumbi (ila kwa Wa-Somali ni kama Ndugu zetu Wa-Maasai na Sime tu) sawa na Ade Rage alivyojikuta kuparamiwa ghafla na hilo lipaja la kuku jukwaani????????????????


rage.jpg


Nimeshtushwa na picha iliyopo kwenye ukurasa wa mbele wa moja ya magazeti ya leo. Mbunge wa Tabora mjini Ismail Aden Rage anapanda jukwaani na Libastola kiunoni.

Mungu amejibu swali gumu ni nani anaeleta vurugu kwenye kampeni za Igunga? Bastola ya nini kwenye mikutano wakati kuna wanausalama weengi hivyo?

CCM NI HATARI JAMANI NI KIFO..

Magwanda msikimbie jamvi keshokutwa
 
Wa Jikoni anatonya kwamba 'e CCM yajaga gete'.

Hawana pa kutokea.

Baadhi ya dondoo muhimu:

  1. Wamama (ambao CCM ndo ina amini ni majuha na mtaji wao) wana msemo wao "Tunakula CCM, tunalala Chadema".
  2. Vijana watiifu kutoka majimbo ya ukombozi, waliojitolea muda, hali, mali na maisha yao kuhakikisha Chadema kinaibuka kidedea uchaguzi mkuu uliopita, wako kazini Igunga kuhakikisha hachakachuliwi mtu.
  3. Mkapa kapata mapokezi finyu ya bajaji na pikipiki.
  4. Kuna kijiji bwana Makufuli alikwenda na kutoa ahadi hewa ya kujenga daraja, ambayo CCM wamekuwa wakiitoa miaka na miaka, but this time around, wananchi walimwambia 'hatudanganyiki,.
  5. kuna taarifa kwamba baadhi ya vijiji raia wanaikimbia mikutanio ya CCM.

Nawasilisha. Nalala.

Tuonane kesho wakati wa mnyukano wa mwisho.


Nimshukuru Wa Jikoni.

mkapa tena kasahau nini pale ,Je Rastam mzee wa DOwans
 
JK Mwenyewe kafulia nataka leo aende huko kufunga kampeni, kama haendi ni ishara tosha kwamba tayari wamepoteza
 
Wana Iguna msikubali kuvalishwa GAMBA JIPYA LA CHUMA, mtaendelea kuwa duni kimaendeleo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom