Sema Mwita25, nililumiss! Naona umekuja kinyumenyume; popobawa nini?Magwanda msikimbie jamvi keshokutwa
Andersonds, nimekuvulia kofia mkuu, umewezaje kugundua kuwa jamaa kageuza herufi za jina lake? Kwa hapo nimeamini wewe unasoma na kufikiri wakati mmoja...Mwita25 mbona huna aman hivyo?
Mkuu, Mungu ni wa wote, kwenye ili Mungu anatuachia viumbe vyake tutumie akili zetu alizotupa ndio zituongoze kwenye mambo yetu, binadamu sio kama Nyumbu!
Pamoja na hilo muwe makini na uchakachuaji msije mkalia na kubaki kurekebisha makosa siku za usoni.Me niko huku jikoni na ni kamanda wa operation kata ya Ziba ambayo ina vijiji v3..Hapa 2mewakaba magamba vilivyo na 2na ushind wa 93%...mkutano wa jana ulifunika balaa na ndo 2kawa 2memaliza kabisa.Huku kuna slogan Kashindye (CDM) ashinde,Kafumu (Magamba) afumuliwe na Mahona (Bi mdogo wa magamba) atakiona...Pipooooooooooooooooozi..
Mwita alifikiri huku ni FB umeshitukiwa, utabadili ID mpaka ukome, lakini utatambulika kwa matendo yako tu kwa jinsi yalivyo feki.Sema Mwita25, nililumiss! Naona umekuja kinyumenyume; popobawa nini?
Me niko huku jikoni na ni kamanda wa operation kata ya Ziba ambayo ina vijiji v3..Hapa 2mewakaba magamba vilivyo na 2na ushind wa 93%...mkutano wa jana ulifunika balaa na ndo 2kawa 2memaliza kabisa.Huku kuna slogan Kashindye (CDM) ashinde,Kafumu (Magamba) afumuliwe na Mahona (Bi mdogo wa magamba) atakiona...Pipooooooooooooooooozi..
Kwa sababu itakuwa mfano sio?Hofu yangu ni kwamba matokeo ya igunga yatasababisha wasijivue magamba mengine.
Mungu hawezi kuwabariki wezi,Mafisadi CCM,Mkuu, Mungu ni wa wote, kwenye ili Mungu anatuachia viumbe vyake tutumie akili zetu alizotupa ndio zituongoze kwenye mambo yetu, binadamu sio kama Nyumbu!
Mungu hawezi kuwabariki wezi,Mafisadi CCM,
Unless umetumwa hapa au unatafuta Mume wa kuwowa...
PawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaMe niko huku jikoni na ni kamanda wa operation kata ya Ziba ambayo ina vijiji v3..Hapa 2mewakaba magamba vilivyo na 2na ushind wa 93%...mkutano wa jana ulifunika balaa na ndo 2kawa 2memaliza kabisa.Huku kuna slogan Kashindye (CDM) ashinde,Kafumu (Magamba) afumuliwe na Mahona (Bi mdogo wa magamba) atakiona...Pipooooooooooooooooozi..
Tutakimbia vp ilhal wana wali (Walembwende) mnajileta wenyewe humu ndani, Tunatwaaa Igunga then kinachofuata Tuna wa wowa wote Mnaotafuta Wanaume humu ndaniCDM-Kata kakasirika mpaka akili imehama anaropoka na bado kesho patakuwa hapatoshi humu JF mtakimbia wote
najua si siku nyingi ntakula ban kwa ajili yako ila uelewe siku hiyo nitakudhalilisha kwelikweli maana data zako zote sasa ninazoCDM-Kata kakasirika mpaka akili imehama anaropoka na bado kesho patakuwa hapatoshi humu JF mtakimbia wote
Mkuu,huyo Jamaa anatafuta Mume tu, ni Asteria ndo zinamsumbua....Msamehe Bure huyo Bintnajua si siku nyingi ntakula ban kwa ajili yako ila uelewe siku hiyo nitakudhalilisha kwelikweli maana data zako zote sasa ninazo