Updates kuhusu BOT

Updates kuhusu BOT

niamini mimi, kwenye cv ile part ya education ulisahau edit. au pia kwa matokeo ya cheti chako yalionesha wazi lazima uliendelea na elimu ya juu. btw usiache kutry mkuu[/QUOTE

muonekano wa cheti sio issue..kuna watu waliomba na div 3 -4 lkn wamekosa..mimi nilikua na two sikuitwa..
 
Hatutakiwi kukariri hivyo mkuu,sometimes kupatakazi ni bahati wala haihitaji kushikwa mkono.ninao mfano toka kwa rafiki zangu ambao leo hii niwaajiriwa wa Takukuru ambao walikuwa hawana hata mtu m1 wakuwashika mkono
kama surname ya rafiki yako haiko ktk medani za siasa za ccm au mafisadi.....sahau
 
Kuwa na subira mkuu,kwa BOT INTERVIEW unaweza ukasubiri hata miezi 6,mimi nimeishawai kufanya interview mbili,written na oral,una apply kazi leo,then unasubili hata miezi sita ndio wanakuita,kwa ufupi wanautaratibu mrefu wa recruitment,

kwa ushauri kidogo kwenye interview ya oral,inakuwa na panelist kati ya watano mpaka wanane,kila mtu anakuuliza swali moja,na ni maswali yaliojikita zaidi katika ufahamu wako kuhusu BOT,BOT nini,wanafanya kazi gani,na mambo kama hayo.cha muhimu ni kukaa standby tu,kingine kizuri nauli yako unarudishiwa kama umetoka mikoani nje ya DAR.

Nilifanya interview mwaka huu na nilitokea Mara ila hawajanirudishia nauli.
Siku hizi hawarudishi, ilikuwa zamani.
 
Habari wana JF makini!!

Mwezi may rafiki yangu alipigiwa cm toka bot akafanye written interview then waliambiwa kuwa watakao faulu watapigiwa cm .

Mpaka sasa hajui kinachoendelea kama walishaita watu kwaajili ya Oral interview au la!

Wenye updates watujuze jaman!
We ndugu yangu siyo hao BOT tu, kuna waliofanya interview za udereva PSPF tangu mwaka wa 2012/2013 hadi leo hakieleweki wameajiri au bado. Baya zaidi hawatoi taarifa kama kuna waliowekwa kwenye hizo nafasi na hawakufanya interview au vipi, ili wale waliofanya hizo sahili, maana zilikuwa nyingi, nasikia kama tatu - written, oral na test. Sielewi watanzania tunakwenda wapi jamani. Uadilifu umepotea kabisa na ule utu tu ata machoni haupo. Mungu saidia.
 
Walitaka form 6.....wewe ulikua na cheti cha zaidi ya form 6. Huwa wanafuatilia

kuna mdau wa pale kanambia,umri ndio kigezo pekee wanachoangalia,ukiwa na umri chini 30yrs sahau kuajiriwa kwa nafasi ya messenger au note counter.sababu wanazijua wenyewe.
 
Jamani vipi kuhusu hizi note counter za mwaka huu nazo hawajaita watu ktk usaili
 
Afadhali bot wanaita ingawa ni kwakuchelewa TRA ndo sahau kabisa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom