BOMBAY
JF-Expert Member
- Apr 16, 2014
- 4,744
- 3,544
Habari wana JF makini!!
Mwezi may rafiki yangu alipigiwa cm toka bot akafanye written interview then waliambiwa kuwa watakao faulu watapigiwa cm .
Mpaka sasa hajui kinachoendelea kama walishaita watu kwaajili ya Oral interview au la!
Wenye updates watujuze jaman!
Mwezi may rafiki yangu alipigiwa cm toka bot akafanye written interview then waliambiwa kuwa watakao faulu watapigiwa cm .
Mpaka sasa hajui kinachoendelea kama walishaita watu kwaajili ya Oral interview au la!
Wenye updates watujuze jaman!