faru john junior
JF-Expert Member
- Dec 26, 2016
- 1,596
- 1,724
Maswali yalikuwa kama ifuatavyoSikupata ile ila humu nadhani wapo walopiga hiyo pepa ila tembea humo nilipokupa mwanga hawawezi toka zaidi ya humo kwa accounts assistant nakuhakikishia ukitoka lazima uje una kenua humu pia usisahu calculator just in case.kila la kheri
Qn1 Explain the meaning and importance of bank reconciliation
Qn2. Mention and explain accounts balances that normally used in positive circulation. Ila hili swali sikumbuki vizri kma lilikuwa hivyo but something like that people they can correct me
Qn3 Explain the importance of cashflow statements
Qn4 Explain the meaning of the following terms
I/ accrual basis
ii/consolidated financial statements
iii/costs
Chakushangaza wa kwana amepta 61