Chillah
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 9,231
- 10,468
cutt off huwa ina enda na namba ya uhitaji katk kila kada na namba ya walio faulu usaili.... kwa nafasi moja huwa kwa kawaida wana gombea watu watatu... hivyo kwa nafasi 10 walitakiwa kuendelea na watu 30; na mkifikisha zaidi ya maksi 50 watu 200 wataangalia wale 30 walio kuwa wame faulu vizuri zaidi ndio wataendelea nao...
na baadae katika kuitwa kazini vipaumbele kama mmefungana maksi huwa wenye umri mkubwa, wanawake ndio huwa wana kipaumbele...
na baadae katika kuitwa kazini vipaumbele kama mmefungana maksi huwa wenye umri mkubwa, wanawake ndio huwa wana kipaumbele...