Update yanayo jiri kwenye interview

Update yanayo jiri kwenye interview

Itakuwa ni vizuri mkuu ukatoa hata kasomo kidogo juu ya hilo hakika utakuwa umesaidia vijana wengi hakuna anaependa kutumikishwa ila hali haziruhusu hasa ukifatilia maisha mtu atokayo usikute labda wewe wakishua ebu wafungue vijana kipi na kipi wafanye ili wajikwamue ukiacha zile theory za kina shigongo ambazo nyingi ni nadharia zaidi.
Mkuu haya maisha smtym n km bahat sijui

Nilipo maliza chuo ktk harak za kutafuta kaz nilipiga interview3 zote hawakuniita mpk Leo

Sasa nikaapa sitafuti tena kaz,kun jamaa Yangu alikuwa anachana mbao Kagera(muleba) anauzia Mwanza na Geita sasa mie ktk kuangaika nikamwomba niende nifanye hata utalii Ka ndan akakubali

Kuna msemo mkaa Bure sio sawa na mtembea Burr

Nikazama zangu kwa mwana nikawanafwatana nae kila anapo tafuta msitu na pia kila akiwa akiwa anawapelekea Wateja wake mbao Mwanza na Geita nani naunga ikafika kipindi nikawa nimewazoea wanunuzi na jamaa wanao chana mbao huko polini nikaanza udalali

Kwa bahat nzur kuna jamaa anaitwa Mzee pale Geita n mwana wangu pia ana gar

Sasa trip ya kwanza nilipo anza pata kamtaji kuna jamaa Geita alikuwa anataka mbao 2000

Mie nilomjuza kuwa nitakununulia hzo mbao kwa Bei ya huku ambayo 4by2 walikuwa wanauza kwa 5000 3by2 kwa 4000 nikamjuza hvyo ila kwa bahat nzur Mimi nilimpata MTU anauza 4500 na 3500 4by2 na3by2 so ktk kila ubao nikawa na faida ya 500x2000=1000000

Gar mpk Geita laki8 Mzee nikambeleza akanifanyia laki6 laki2 ikawa Yangu

Kibar nilikatia Bukoba mjini kwa 300 hakuna cha pesa ya ukaguzi elfu40 ikawa Yangu

Mzigo nikamfikishia akanitoa laki2 kwa maana angempelekea mwingine angemuuzia 7000 kwa kila ubao so yeye hakuliwa nani nikapata faida

Tangu siku ile nikapata ya kuanzia MTU akitaka mzigo namtafutia nauli ninayo nikimfikishia mzigo analipa

Mpk mtaji ukafika 4ml kwa muda mwez Tuu

Jamaa Yangu alikuwa na insawa nilianzaga kwa kununua msitu kwa kwanza kwa 1.5ml operation ilicost 1ml na ushee ile msitu nilipata hakika niliuza mzigo kwa Mteja Wa Mwanza km 6ml na usher nikawa rasmi na mtaji km 8ml HV

Mpk nilipo kuja fungua site Yangu na kununua mashine zangu

Ila toka mwaka Jana mwezi wa7 mambo yakaanza badilika biashara ikawa hovyp kabisaa


Awali nilikuwa nikishusha mzigo Wa fuso unakaa WK moja au siku kadhaa ila ukaanza kukaa mpk mwezi ikawa hasara *****

So bado tunapambana hvyo hvyo ila design n km na misitu muleba imeishaa HV nikahamia nyehunge,bupandwa na rwenzera nako nikaona chenga nw nataka nihamie iringa huku ndio nachek raman
 
Mkuu haya maisha smtym n km bahat sijui

Nilipo maliza chuo ktk harak za kutafuta kaz nilipiga interview3 zote hawakuniita mpk Leo

Sasa nikaapa sitafuti tena kaz,kun jamaa Yangu alikuwa anachana mbao Kagera(muleba) anauzia Mwanza na Geita sasa mie ktk kuangaika nikamwomba niende nifanye hata utalii Ka ndan akakubali

Kuna msemo mkaa Bure sio sawa na mtembea Burr

Nikazama zangu kwa mwana nikawanafwatana nae kila anapo tafuta msitu na pia kila akiwa akiwa anawapelekea Wateja wake mbao Mwanza na Geita nani naunga ikafika kipindi nikawa nimewazoea wanunuzi na jamaa wanao chana mbao huko polini nikaanza udalali

Kwa bahat nzur kuna jamaa anaitwa Mzee pale Geita n mwana wangu pia ana gar

Sasa trip ya kwanza nilipo anza pata kamtaji kuna jamaa Geita alikuwa anataka mbao 2000

Mie nilomjuza kuwa nitakununulia hzo mbao kwa Bei ya huku ambayo 4by2 walikuwa wanauza kwa 5000 3by2 kwa 4000 nikamjuza hvyo ila kwa bahat nzur Mimi nilimpata MTU anauza 4500 na 3500 4by2 na3by2 so ktk kila ubao nikawa na faida ya 500x2000=1000000

Gar mpk Geita laki8 Mzee nikambeleza akanifanyia laki6 laki2 ikawa Yangu

Kibar nilikatia Bukoba mjini kwa 300 hakuna cha pesa ya ukaguzi elfu40 ikawa Yangu

Mzigo nikamfikishia akanitoa laki2 kwa maana angempelekea mwingine angemuuzia 7000 kwa kila ubao so yeye hakuliwa nani nikapata faida

Tangu siku ile nikapata ya kuanzia MTU akitaka mzigo namtafutia nauli ninayo nikimfikishia mzigo analipa

Mpk mtaji ukafika 4ml kwa muda mwez Tuu

Jamaa Yangu alikuwa na insawa nilianzaga kwa kununua msitu kwa kwanza kwa 1.5ml operation ilicost 1ml na ushee ile msitu nilipata hakika niliuza mzigo kwa Mteja Wa Mwanza km 6ml na usher nikawa rasmi na mtaji km 8ml HV

Mpk nilipo kuja fungua site Yangu na kununua mashine zangu

Ila toka mwaka Jana mwezi wa7 mambo yakaanza badilika biashara ikawa hovyp kabisaa


Awali nilikuwa nikishusha mzigo Wa fuso unakaa WK moja au siku kadhaa ila ukaanza kukaa mpk mwezi ikawa hasara *****

So bado tunapambana hvyo hvyo ila design n km na misitu muleba imeishaa HV nikahamia nyehunge,bupandwa na rwenzera nako nikaona chenga nw nataka nihamie iringa huku ndio nachek raman

Hongera mkuu but usichoke kupambana na kuzidi kuinua vijana wenzio ili nao wapate mwanga kama wako maana wengine hata hapo ulipopata pakuanzia wewe hawana ndo tatizo
 
Bro tafadhari naomba msaada hapa.... nimepata taarifa toka kwa walio fanya usaili leo kuwa... kuna walio fanya usaili wa tanapa hapo hapo chuo cha uhasibu je ni kweli mlitangaziwa hili....

shukrani
Hakuna kitu kama hicho zote zilihisiana na ngorongoro tu
 
Hongera mkuu but usichoke kupambana na kuzidi kuinua vijana wenzio ili nao wapate mwanga kama wako maana wengine hata hapo ulipopata pakuanzia wewe hawana ndo tatizo
Yeap mkuu

Bado napambana kaka maana ndio kwanza nmekuwa na familia pia so majukumu juu ya majukumu hakuna kukata tamaaa

Ingawaje mwaka huku siusomi usomi yaan haueleweki kabisaa unaplan HV mambo yanaenda vile ila n wakat Tuu

Nw nipo zangu namalizia palizi huku songwe then naingia msituni km kawaida
 
Kwa iyo watumishi wa Umma hawatakiwi? Mbn tunapangiana maisha! Mie nilikuwa mtumishi wa umma elimu lkn now nipo TANAPA hebu waweke vigezo sio ubaguzi
Kumbe wa tanapa umo humu tupage basi update za huko mbona hawaiti watu kwenye usaili
 
Tulipiga usaili watu zaidi ya 40 na walihitajika watu zaidi ya 10. Kwenye kada yetu wamechaguliwa watu 4 tu
Wenye 90 na 80 tu. Kuna watu wapo na 75 NOT SELECTED
 
Back
Top Bottom