Azpilicueta
Member
- Sep 8, 2021
- 86
- 92
magari ya abiria na mizigo mwisho kutumika iwe miaka 10
Pole sanaNimepoteza ndugu zangu 4 kwenye hii ajali.Mwenyezi Mungu awalaze mahali pema peponi.
vyombo vyetu imara vya ulinzi vimeyapokea na kazi natumaini inaendeleaAmetoa maagizo gani ndugu? Ni yale yale ya jumla jumla ya siku zote au safari hii ni tofauti?
Kweni ilikuwa na Abnormal Wide Load....hii ajali ina watu wa kuwajibishwa, ni wale walioruhusu gari hiyo kutembea bila Kuwa na kile kigari hutangulia mbele kwa ajili ya usalama
Hapana ndugu Magari yawe yanakaguliwa haswa Break System. na Air Sytem.magari ya abiria na mizigo mwisho kutumika iwe miaka 10
Kile kigarii kwa maeneo ya mjini naonaga hakina kazi unakuta kimetangulia mbele kabisa katikati yake na gari la mizigo kuna gari kibaooo.. Na kile hakizuii gari la mizigo lisifail brake ila kutoa tahadhari tuu kuwa gari linalokuja size yake limezidi upana wa kawaida wa gari.Write your reply...hii ajali ina watu wa kuwajibishwa, ni wale walioruhusu gari hiyo kutembea bila Kuwa na kile kigari hutangulia mbele kwa ajili ya usalama
Dereva Kakimbia ila utingo inasemekana kafia hapo.hawa wakenya si wakuamini hata kidogo
neno!watu huwa wanapanick sababu huwa wako kwenye mwendo usio salama.
ni sawa na kuona mtu anakatisha ghafla mbele,kama uko speed sana lazima urukie staring na kuuma meno.
Hilo gari lingeingia mitaa ya idd yangetokea makubwa zaidi ya hayoKusema ni Tukio la kigaid si rahisi, unatakiw ufanye reasoning.. hilo ni lori na ametoka huko alikotoka, kakoleza speed, pia alikuwa anaonesha ISHARA ya kusogeza gar pembeni ila watu hawakumuelewa anamaanisha nini.
Inasemekana gari imefel kilometa 3 nyuma.. so kulikuw na warning signs kazionyesha.
Tukio la kigaidi huwez kubet kias hicho kwamba gar fulan itakuw point fulani.. without gari nyingine kuingilia kati kwa distance ya km3.
Yaan umuweke TARGET wako ukiwa km3 uje umgonge sio rahisi.
Leo nimepiga makofi Dereva wa hivi vipanya, nikachukua na funguo mpumbav kabisa.Hilo gari lingeingia mitaa ya idd yangetokea makubwa zaidi ya hayo
Tumeskia wazungu nao pia walikuwepoHabari wadau
Nipeni muda kidogo nitawajuza uharibifu ni wa kiwango gani lakini ukweli ni kwamba hali ni mbaya sana, watu wengi wamefariki.
Kwa wasiojua Ngaramtoni ni Arusha, Nairobi Road.
Kwa kifupi ni kwamba imeua wazungu wengi sana. Walikuwa kwenye Coaster pamoja na Raia na waendeshaji wa hiyo Truck pia.
=============
Watu 15 wameripotiwa kufariki dunia katika ajali iliyohusisha Lori la Mizigo (Semi Trailer) na magari madogo matatu iliyotokea katika eneo la By Pass Ngaramtoni, Wilayani Arumeru ambapo chanzo cha ajali hiyo bado hakijafahamika.
Kwa mujibu wa taarifa za mashuhuda, Lori hilo aina ya Scania lenye namba za Usajili ZF 6778 lilikuwa likionesha ishara Taa za Hatari likiwa katika mwendo mkali na baadaye kuyagonga magari matatu ambayo ni Basi dogo la Abiria (Hiace), Basi la Shule ya New Vision lililokuwa na Watumishi wa Shule na Gari lingine dogo.
Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi SACP, Justine Masejo, amethibitisha taarifa hiyo na kuwataka Wananchi kufika Hospitali ya Rufaa ya Mount Meru kutambua Miili ya waliofariki katika ajali hiyo.
...............
UPDATE:
ARUSHA: Idadi ya Vifo kutokana na ajali iliyotokea Februari 24 eneo la Ngaramtoni na kuhusisha Lori na magari mengine madogo Matatu imefikia 25 huku wengine 21 wakijeruhiwa
Unakosea Sema ni Wazungu wanaofanya kazi Nchini. Sio watanzaniaSio watalii ni wafanyakazi wa New Vision School na staff wa kitanzania.Walikuwa na basi la shule.
Nilipoona tu Timu moja Kongwe barani Afrika imepata Ushindi mnono na wa Kuwavusha hatua muhimu ya Mashindano kama walivyokamia nilijua tu kuwa kutakuwa na Malipo makubwa ya Kafara ili Kuyalipa / Kuyashibisha Majini ambayo hata Mtu wao aliyeko Misri kayasema.Habari wadau
Nipeni muda kidogo nitawajuza uharibifu ni wa kiwango gani lakini ukweli ni kwamba hali ni mbaya sana, watu wengi wamefariki.
Kwa wasiojua Ngaramtoni ni Arusha, Nairobi Road.
Kwa kifupi ni kwamba imeua wazungu wengi sana. Walikuwa kwenye Coaster pamoja na Raia na waendeshaji wa hiyo Truck pia.
=============
Watu 15 wameripotiwa kufariki dunia katika ajali iliyohusisha Lori la Mizigo (Semi Trailer) na magari madogo matatu iliyotokea katika eneo la By Pass Ngaramtoni, Wilayani Arumeru ambapo chanzo cha ajali hiyo bado hakijafahamika.
Kwa mujibu wa taarifa za mashuhuda, Lori hilo aina ya Scania lenye namba za Usajili ZF 6778 lilikuwa likionesha ishara Taa za Hatari likiwa katika mwendo mkali na baadaye kuyagonga magari matatu ambayo ni Basi dogo la Abiria (Hiace), Basi la Shule ya New Vision lililokuwa na Watumishi wa Shule na Gari lingine dogo.
Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi SACP, Justine Masejo, amethibitisha taarifa hiyo na kuwataka Wananchi kufika Hospitali ya Rufaa ya Mount Meru kutambua Miili ya waliofariki katika ajali hiyo.
...............
UPDATE:
ARUSHA: Idadi ya Vifo kutokana na ajali iliyotokea Februari 24 eneo la Ngaramtoni na kuhusisha Lori na magari mengine madogo Matatu imefikia 25 huku wengine 21 wakijeruhiwa
Hadi vifo hua unasafiria umaarufu ..jingamavi kweliNilipoona tu Timu moja Kongwe barani Afrika imepata Ushindi mnono na wa Kuwavusha hatua muhimu ya Mashindano kama walivyokamia nilijua tu kuwa kutakuwa na Malipo makubwa ya Kafara ili Kuyalipa / Kuyashibisha Majini ambayo hata Mtu wao aliyeko Misri kayasema.
Ungekuwa unajua kusoma ungeelewa.Hilo lilikuwa ni jibu kwa mtu mahsusi aliyeuliza swali kwamba ni watalii?.Ume quote out of context.Unakosea Sema ni Wazungu wanaofanya kazi Nchini. Sio watanzania
Pumbavumavi.Hadi vifo hua unasafiria umaarufu ..jingamavi kweli
Na yule niliyemuona kavimba Uso anahojiwa pale Hospitali ni nani?Dereva Kakimbia ila utingo inasemekana kafia hapo.