Kwanini wapate madhara?Hizi chanjo zina mambo sana hizi..keep wondering watu waliochomwa miaka 5 au 10 ijayo watapata madhara gani? Anyways hapa ndipo penye hekima na mwenye masikio na asikie.
Kuna mjingaTutakuja tushuhudie mazombie mitaani
Uongozi wa jamiiforums mkiondoa hii habari mtakua mnashiriki moja kwa moja katika kuficha ukweli kwa watanzania kuwa hizi chanjo bado hazijaiva...
Ukweli ni muhimu ili watengeneza hizi chanjo warudi maabara upya
Asante sana