Update: Mashtaka dhidi ya makampuni manne ya simu

Nakutakia kila LA heri mkuu ila usisahau watu wasiojulikana kama wapo na wataanza kukufuatilia hivyo kumbuka kusali au dua kwa wingi huku na sisi tunaendelea kukuombea kwa Mungu awe nawe daima.Ubebari ni unyama wahenga walisema miaka iliyopita.
 
Ukiwa unajinasibu kua mtu wa dini halafu unachukia ndugu yako huna tofauti na mchawi...kweli huko mbinguni tutakuta wateule wachche sana
 
Wasiwasi wangu Ni kwamba watakupa mpunga usiopungua billion moja na dalali atakuwa TCRA..na wewe utachukua mpunga na kutekeleza wanyonge
 
Kushinda hiyo kesi ni ngumu maana huo wizi unaofanywa na hayo makampuni ya simu kwa kiasi kikubwa unamfaidisha pia Zakayo kwenye kukusanya kodi. Kwa hiyo Kaisari na tamaa yake ya kutunisha mfuko hawezi kuwa tayari kupoteza hayo mapato.
 
Hongera kwa ku copy Kenya.

Coz Kenya judgement ilikuwa Mwezi uliopita. Na jamaa alishinda. But in reality nothing has changed. Coz wameweka vifurushi vya aina2. With No expire date and With Expire date.
 
Sasa mbona wanaweza kubadilisha kifurushi wamavyotaka kama Halotel 10, 000 ilikuwa gb10 walipoona ngoma inogile elfu 10 hiyo sasa ni Gb 6. Na wanaweza shusha hata gb 5.

Ebu fafania hapo taf. Mi nadhani tuna hoja ya kulalamika
Hakuna sheria inayokataza bei ya bidhaa kupanda au kushuka ata sukari walipojaribu imewatokea puani.

Pili bei kupanda au kushuka inategemea na gharama zao za uzalishaji au kutokana na ushindani sokoni kwenye kuvutia wateja this is why developed economies don’t like monopolies or too large companies merging together kwa sababu zinauwa nguvu ya soko kwenye ushindani wa bei,

Tatu makampuni mapya yanapoingia sokoni as an entry strategy yanaweza kubali faida ndogo au hata hasara kiasi kwa kuuza huduma zao bei rahisi hili kuvutia wateja kwanza (penetration pricing). Mkishakuwa wengi inabidi warudi katika competition prices au bei ambazo zinafaida kwao baada ya gharama za kuzalisha; whichever suits them best.

Kwa ivyo kampuni mpya ukiona wapo rahisi chances are that is just a marketing ploy hila hizo bei zitapanda tu eventually.
 
Kwani nikiamua kuichuka na kuila tens baadae kuna MTU wa kunifuatilia?
Wewe uza chipsi habari za nimekulaje niachie mnunuzi
 
Umeshalipoti kwahao wanaokutisha polisi?na nivizuri uwaanike nanamba zao
 
Nakubaliana na wewe asilimia zote.MUNGU akulinde katika mpambano huu.
 
Hiyo neno walaji, nadhani limetumika kumaanisha consumers, lakini nahisi neno consumer lipewe maana nyingine kwa context yako
Maana ni ile ile Consumer ni Mlaji na Mlaji ni yule Mtumiaji wa Mwisho hivyo hakuna haja ya neno hilo kupewa maana nyingine.
 
Sawa mtalaam lakini nikizingatia maelezo yako sukari sisi tunanunua kokote hapa kwenye simcard haziingiliani una banwa na mtoa buduma mmoja unalazimika kufuata chochote anachotaka kwa mkataba aliotunga yeye na anachokwambia ni kwamba uzingatie masharti na vigezo alivyo seti yeye mwenyewe. Bado hoja ya msingi ipo.
 
Muktadha wa habari ndiyo unatoa mwelekeo wa maana ya maneno yenye maana zaidi ya moja. Mathalan, mtu akiwa kwenye mazingira ya jikoni pakiendelea kufanyika maandalizi ya mapishi, akimwagiza mwanae akaletee Mbuzi, moja kwa moja fikra zitajielekeza kwenye Mbuzi chombo cha kukunia Nazi na si Mbuzi mnyama
Hiyo neno walaji, nadhani limetumika kumaanisha consumers, lakini nahisi neno consumer lipewe maana nyingine kwa context yako
 
Usifananishe mpambano wako na kampuni za simu na magonjwa, ugonjwa wowote ni hatari kwa afya yako ndo maana unauwa, we umeleta hoja punguza mbwembwe
We ndo jinga kweli bado tu unauguaga malaria ????,vipi kati yahuyu mwanasheria akafa mfano kisahayo makampuni nakukupigania wewe usiejielewa...halafu wewe ukafa kwa ukimwi nani ataeziwa vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…