CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,786
- 15,732
Uhuru wa kutoa maoni sio kuchochea vurugu, hapo lazima uelewe, toa maoni yako kwa ustaarabu bila kuhatarisha uhuru wa mwingine au huelewi hapo? Wale mashekhe hawakuwa mashekhe ni wapumbavu fulani.Halafu huko ulikosoma hukufundishwa kuwa raia ana uhuru wa kutoa maoni yake? Ana uhuru kudai? Ana uhuru wa kukosoa? Km ni maandamano yashafanywa sana na vyama vya kisiasa na vyombo vya usalama vikawatawanya lkn hawakuwekwa mahabusu miaka km hawa mashekhe na wao pia walihatarisha Amani ya nchi ila kwasabb pengine ni ndugu moja wanaachiwaga ila mtu ana uhuru wa kufanya chochote ktk nchi yake akiwa havunji sheria za nchi.... Nonsense
Kama dini ingekuwa inasambazwa kwa chuki kama zile basi NIGERIA WOTE WANGEKUWA WAISLAM kisa BOKO HARAM.