Update kesi ya LISU leo hakuna?

Update kesi ya LISU leo hakuna?

Kilaza ni wewe ambaye hukuweza hata kuelewa kile ambacho majaji walielekeza kwa mawakili wa serikali kuwa wasimwache shahidi awe anabweka tu bali wamwongoze ili ushahidi wake ulenge shtaka lililopo.

Kwani Shahidi alikuwa anasema kile kitu kipya ni kilekile !!

Lkn bado Lissu kaonesha kugomea Ushahidi wake!! Mwisho kauli ya Wanasheria wa Serikali ndio imefatwa unajua kwann??

Wanauwezo wa kukatia rufaa Shahidi kuzuiya kutoa Ushahidi wake kikamilifu!!

Lissu kesi anaichelewesha mwenyewe kupinga pinga jambo lipo wazi!!

Si mnamwita Mwalimu wa Sheria sasa anaogopa nini Jaji hasisikie Ushahidi wake🦘🦘
 
Kwani Shahidi alikuwa anasema kile kitu kipya ni kilekile !!

Lkn bado Lissu kaonesha kugomea Ushahidi wake!! Mwisho kauli ya Wanasheria wa Serikali ndio imefatwa unajua kwann??

Wanauwezo wa kukatia rufaa Shahidi kuzuiya kutoa Ushahidi wake kikamilifu!!

Lissu kesi anaichelesha mwenyewe kupinga pinga jambo lipo wazi!!

Si mnamwita Mwalimu wa Sheria sasa anaogopa nini Jaji hasisikie Ushahidi wake🦘🦘

..sio kweli.

..Majaji hawakumruhusu Shahidi alete mambo mapya.

..Hoja ya Tundu Lissu ilikubaliwa na Majaji.

..Na leo Tundu Lissu atamfanyia Shahidi mahojiano ya dodoso.
 
Aheri ukose yote, lakini uwe na akili.
Pole sana kwa kukosa akili. Ukiwa na tatizo kama ulilo nalo, ni aheri kukaa kimya kuliko kujianika kwa kiwango hiki!!

Kwamba kile kimeratibiwa na Chadema kwa baraka za Mwenyekiti wao!!👈

hakiendi kinyume na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Chama cha Siasa kilichofata miongozo ya usajili ndiomana kikapata uho usajili

Kikienda kinyume na iyo miongozo ya kusajiliwa
kwake!!!!!!👈

unategemea kitaachwa kijiendeshe vile chenyewe kinataka!!!!👈

kinyume na matakwa ya
Usajili wake!!!!👈

Nakwambia kwa %100 Chadema kinaenda futwa kisheria❗️

Jaji kwenye ukumu kuusu Chama atatoa pasi kwa Msajili kupitia Sheria zake kama hazijakiukwa👈

Msajili atawaita Wadhamini wa Chadema watapewa barua wajibu ndani ya muda maalum👈

Majibu ya wadhamini ndio yatamuongoza Msajili nini cha kufanya.

Kunusurika kwa Chadema kutatokea tu kupitia Maridhiano tena Lissu akiwa uko uko Lupango👈

kinyume chake ❗️

Chadema kinaenda futwa na nyinyi 🫎🫎🫎 mtatoa macho tu na kupiga soga umu kwenye mitandao tu✍️.
 
..sio kweli.

..Majaji hawakumruhusu Shahidi alete mambo mapya.

..Hoja ya Tundu Lissu ilikubaliwa na Majaji.

..Na leo Tundu Lissu atamfanyia Shahidi mahojiano ya dodoso.

Mkuu Mbona Shahidi aliendelea vilevile 👈

mambo ya kisheria Mkipingana kifuatacho ni kukata rufaa
Pale pale au kwengine👈

Majaji wamejiongeza
ile jana👈

lau ngoma ingesimama
jana ileile💪
 
Mkuu Mbona Shahidi aliendelea vilevile 👈

mambo ya kisheria Mkipingana kifuatacho ni kukata rufaa
Pale pale au kwengine👈

Majaji wamejiongeza
ile jana👈

lau ngoma ingesimama
jana ileile💪

..Majaji walikubaliana na hoja ya Lissu.

..kama wakili wa serikali na shahidi waliondelea na utaratibu wao basi walikuwa wanajichosha tu.

..kwa kifupi Mahakama[ majaji] watachukua ambayo wanaona yanaendana na Mashtaka, kama Lissu alivyoiasa mahakama, na kuachana na mambo ya ziada, yasiyohusika, yaliyoibuliwa na shahidi.
 
Mkuu Mbona Shahidi aliendelea vilevile 👈

mambo ya kisheria Mkipingana kifuatacho ni kukata rufaa
Pale pale au kwengine👈

Majaji wamejiongeza
ile jana👈

lau ngoma ingesimama
jana ileile💪

..Majaji walikubaliana na hoja ya Lissu.

..kama wakili wa serikali na shahidi waliondelea na utaratibu wao basi walikuwa wanajichosha tu.

..kwa kifupi Mahakama[ majaji] watachukua ambayo wanaona yanaendana na Mashtaka, kama Lissu alivyoiasa mahakama, na kuachana na mambo ya ziada, yasiyohusika, yaliyoibuliwa na shahidi.
 
Lissu aendelea kumuhoji shahidi
Shahidi anapewa hati ya kiapo

Lissu: Ni yenyewe si ndio?

Shahdi anakagua

Lissu: Kesi ya uhaini sio rahisi haijawahi kuwa rahisi, ni kiapo chako kweli si kweli

Shahidi: Ni kweli

Lissu: Kuna mahali popote umesema shahidi alitishiwa kupigwa Shahidi: Ipo

Lissu: Isome tafadhali.

Shahidi: Naona hii hapa “body harm”

Lissu: Body harm inaweza kuwa na namna nyingi, je, kwenye kiapo chako kuna mtu alipigwa aliambiwa tutakuua tutachoma nyumba tutashambulia familia yako?

Shahidi: hiyo haipo

Lissu: Sasa shahidi kuhusiana na hii habari ya mashahidi kutishiwa, waliletwa mashahidi niliwauliza swali je ulitishiwa kupigwa, ndugu zako au kudhuriwa wote walisema hapana sasa wewe unadai walitishiwa Je mahakama ifuate ushahidi wa nani?

Shahidi: Wakwangu

Lissu: Shahdi angalia hicho kielelezo chako mwanzo kabisa... Makazi Goba njia Nne kata ya Matosa waeleze majaji kama kweli si kweli Goba iko halmashauri ya manispaa ya Ubungo.

Shahidi: Sijui

Lissu: Hujui, Goba iko manisapaa ya Ubungo?..nataka nimsomee shahidi aelewe maeneo.

Anamsomea maneo yote ya ubungo.

Lissu: Waeleze majaji wewe umeandika kata gani

Shahidi: Kata ya matosa.

Lissu: Shahidi twende kwenye kielezo D15 waeleze majaji nani ameandika hayo maelezo.

Shahidi: Nimeandika mwenyewe.

Lissu: Hayo ni maelezo waeleze majaji kama shahidi ana uwezo wa kujiandikia maelezo yake mwenyewe kwa mujibu wa sheria ya makosa ya jinai.

Shahidi: Shahidi yeyote maelezo yake yanachukuliwa na afisa wa polisi.

Lissu: Kwenye hayo maelezo aliyekupa onyo kama shahidi ni nani?

Shahidi: Nimetoa tamko

Lissu: Hilo tamko umelitoa mbele ya nani mbele ya afisa gani wa polisi?

Shahidi anajieleza

Lissu: Wewe si umesema ni polisi mimi mwanasheria

Lissu: Hilo tamko umetoa mbele ya nani?

Shahidi: Nimeandika mwenyewe

Lissu: Kuna sehemu ya saini ya mtoa maelezo hapo amesaini nani?

Shahidi: Mwenyewe

Lissu: Na hapo chini sehemu ya afisa aliyeandika maelezo

Shahidi: Nimesaini mwenyewe.

Lissu: Kwenye maelezo yako D15 umesema majukumu yako ni kulinda raia na mali zao.

Shahidi: Ndio

Lissu: Na ulisema uko kwenye kitengo x

Shahidi: Ndio

Lissu: Waleze majaji kama kazi za kitengo X ni pamoja na kulinda raia na mali zao

Shahidi: Ndio

Lissu: Unafahamu PGO

Shahidi: Ndio

Lissu: Waheshimiwa majaji naomba shahidi apewe nakala yangu ya PGO sidhani kama wanayo.

Shahidi anapokea..

Lissu: Waeleze majaji kama hayo yaliyotajwa ni sehemu ya majukumu ya kitengo X kwenye kulinda raia na mali zao. Nimekuwekea alama order 6/8

Shahidi: Swali ni nini?

Lissu: Je, kitengo X kina wajibu wa kulinda raia na mali zao?

Shahidi: Ni sehemu ya majukumu yetu.

Lissu: Soma yote yako manne

Shahidi anasoma

Lissu: Waeleze majaji kama polisi kuna kitengo Y

Shahidi: Ndio kipo.

Lissu: Waeleze majaji kazi zake ni nini

Shahidi: Vyote vinalinda raia na mali zao kama jukumu letu polisi.

Lissu: Waeleze majaji kama umewahi kuwa RCO Singida.

ShahIdi: Sijawahi kufanya kazi Singida.

Lissu: Hujawahi, waeleze majaji katika Jeshi la Polisi kipindi ambacho umekuwa RCO maafisa wa polisi wanaoitwa Amini Mahamba ni wangapi kati ya mwaka 2006 hadi mwaka 2009, mtu anayeitwa Super intendent of Police, Amini Mahamba

Shahidi:Alikuwepo afisa kama huyo lakini alikua anaitwa Amini said Mahamba

Lissu: Waheshimiwa majaji hii ni muhimu iko kwenye kesi ya mahakama ya rufani mwaka 2007 anaidanganya mahakama chini ya kiapo

Lissu anamsomea hukumu ya kesi anayoitumia kama rejea.

Shahidi anakataa sio yeye anasema Amini huyo anayetajwa ni mtu mwingine.

Lissu: Tuendelee.. unasema kama kazi ya kitengo X ni kushughulikia usalama wa nchi, waeleze majaji kama ulimshirikisha Regional Security Officer

Shahidi: Hapana

Lissu: Waeleze majaji kama uliwashirikisha TIS.

Shahidi: Sikuwashirikisha

Lissu: Waeleze majaji kama unafahamu kitu kinaitwa Kamati ya Ulinzi na Usalama na. kama uliijulisha kamati hiyo ya mkoa wa Dar es salaam....

ITAENDELEA....
REPOST
 
Back
Top Bottom