Update kesi ya LISU leo hakuna?

Update kesi ya LISU leo hakuna?

Mi pia nashangaa! Kurugenzi ya habari CHADEMA, haijatoa sababu zozote!
CHADEMA wawe makini, hiki kipindi ndio jamii inatakiwa kujua kilakitu kinachoendelea mahakamani. Maana tayari wameshanshindwa kesi, wataleta kitu cha hovyo bila umma kujua.
 
Lissu maji ya shingo yamemfika, leo alikuwa anampangia shahidi wa mashitaka asemeje, yaani kifupi kimemlamba mpaka akawa anazuia ushahidi usitolewe. Ndomana nyumbu wote wamelowa hutawaona watoa update
 
Lissu maji ya shingo yamemfika, leo alikuwa anampangia shahidi wa mashitaka asemeje, yaani kifupi kimemlamba mpaka akawa anazuia ushahidi usitolewe. Ndomana nyumbu wote wamelowa hutawaona watoa update

Lissu kasema shaidi hasilete mambo ambayo hayapo kama mambo ya votes Mkuu
 
Lissu maji ya shingo yamemfika, leo alikuwa anampangia shahidi wa mashitaka asemeje, yaani kifupi kimemlamba mpaka akawa anazuia ushahidi usitolewe. Ndomana nyumbu wote wamelowa hutawaona watoa update
Jizi na lipenda rushwa linatoa comments
 
Lissu maji ya shingo yamemfika, leo alikuwa anampangia shahidi wa mashitaka asemeje, yaani kifupi kimemlamba mpaka akawa anazuia ushahidi usitolewe. Ndomana nyumbu wote wamelowa hutawaona watoa update

Wewe kweli mwendawazimi. Hivi ni kweli huna akili au uchawa ndio umekuondolea akili?

Lisu ni kichwa hasa, daima alikuwa anasimama kwenye misingi ya kisheria, wakati yule punguani shahidi polisi alikuwa anaongea mambo yasiyohusiana na shtaka lililopo. Ndiyo maana Jaji akamwambia wakili wa serikali awe anamwongoza shahidi ili asipoteze muda wa kuongea mambo yasiyohusiana na shtaka.
Yawezekana na wewe ni miongoni mwa wenye akili ndogo kama yule shahidi punguani ambaye anafikiri ukiwa mahakamani ni kubweka tu lolote linaloweza kutoka kinywani.
 
We nyumbu babu yenu asubiri huruma ya dk samia tu, tofauti na hivyo kitanzi kinamhusu kesi ngumu hii imemuelemea, leo katapatapa sana hadi alikuwa anatia huruma!!

Wewe aheri ungewahi matibabu. Lazima ni mgonjwa wa akili ndiyo maana unaropoka hovyo, ujinga mtupu. Lisu ana akili hasa, ndiyo maana majaji wamekubaliana na hoja yake. Halafu wewe mwendawazimu unaandika upumb.avu mtupu hapa!!
 
Wewe kweli mwendawazimi. Jivi ni kweli huna akili au uchawa ndio umekuondolea akili?

Lisu ni kichwa hasa, daima alikuwa anasimama kwenye misingi ya kisheria, wakati yule punguani shahidi polisi alikuwa anaongea mamboyasiyohusiana na shtaka lililopo. Ndiyo maana Jaji akamwambia wakili wa serikali awe anamwongoza shahidi ili asipoteze muda wa kuongea mambo yasiyohusiana na shtaka.
YAwezekana na wewe ni miongoni mwa wenye akili ndogo kama yule shahidi punguani ambaye anafikiri ukiwa mahakamani ni kubweka u lolote lililomo linaloweza kutoka mdomoni.
Hata mashahidi wa nyuma waliwahi toa ushahidi unaofanana na leo na hata wakili wa serikali alivyotoa ufafanuzi majaji waliafiki na kuruhusu shahidi aendelee kufunguka!!
 
Wewe aheri ungewahi matibabu. Lazima ni mgonjwa wa akili ndiyo maana unaropoka hovyo, ujinga mtupu. Lisu ana akili hasa, ndiyo maana majaji wamekubaliana na hoja yake. Halafu wewe mwendawazimu unaandika upumb.avu mtupu hapa!!
We nyumbu acha kupotosha majaji wamekubali hoja za lissu kivipi?
 
Lissu kesi hii anaenda kushindwa
Sababu matukio ya Mo29 yameungana na matamko
yake 👈

Chadema kinaenda kufutwa kisheria kimeusika kwenye kupingana na Katiba MAMA👈 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania✍️
 
Hata mashahidi wa nyuma waliwahi toa ushahidi unaofanana na leo na hata wakili wa serikali alivyotoa ufafanuzi majaji waliafiki na kuruhusu shahidi aendelee kufunguka!!
Labda una matatizo ya kusikia au uelewa mdogo!
Majaji hawakumruhusu shahidi aendelee kuropoka chochote bali waliwaamuru mawakili wa Serikali kuwa wamwongoze shahidi kuhakikisha ushahidi wake unaendana na shtaka lililopo.
 
Lissu kesi hii anaenda kushindwa
Sababu matukio ya Mo29 yameungana na matamko
yake 👈

Chadema kinaenda kufutwa kisheria kimeusika kwenye kupingana na Katiba MAMA👈 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania✍️

Aheri ukose yote, lakini uwe na akili.
Pole sana kwa kukosa akili. Ukiwa na tatizo kama ulilo nalo, ni aheri kukaa kimya kuliko kujianika kwa kiwango hiki!!
 
Majaji wameruhusu shahidi je ni vilaza wa sheria??
Kilaza ni wewe ambaye hukuweza hata kuelewa kile ambacho majaji walielekeza kwa mawakili wa serikali kuwa wasimwache shahidi awe anabweka tu bali wamwongoze ili ushahidi wake ulenge shtaka lililopo.
 
Back
Top Bottom