Upanga, Dar: Nyumba aliyodaiwa kuishi aliyewashambulia Polisi yazingirwa na Jeshi la Polisi

Yule ni gaidi aliyepania kuterrorise (kutia hofu) jamii ya polisi bila kujali yupi kamfanyia ubaya au yupi hahusiki. Hakuwa akilenga polisi fulani mwenye ugomvi naye kulipiza kisasi. Hakuwa na lengo la kuiba au kunyang’anya.

Ugaidi ni Kuua/kujeruhi jamii fulani kwa lengo la kuwatia hofu kubwa na kuvuruga shughuli na maisha yao kwa ujumla. Sio mashambulizi yote ya risasi ni ya kigaidi hata yakiwa mengi. Lengo ndilo hubainisha ugaidi au la.

Polisi waanze kukaa chonjo. Watanzania wengi ni watu wema lakini sio wote ni “wapole”. Yule ni mmoja tu tena kajiendea recklessly. Sasa kizazi kipya kinaingia taratibu. Siku kagenge ka “vichaa” wawili watatu hivi walionyanyaswa na polisi wakiamua kufanya maangamizi kwenye target maalum itakuwa tabu sana.
Kama ni hivyo basi Marekani kuna magaidi wengi sana mkuu aina kama ya Hamza.
 
Gaidi ni mtu yeyote ambaye anafanya mauaji kwa imani zake ziwe za kisiasa au dini. Huyu sio mwizi ni gaidi tupende tusipende.
Sawa ni gaidi je alikuwa anafanya ugaidi kushinikiza kitu gani kitimizwe?
 
kwa nini wafuasi wa Mbowe wamefurahia sana kitendo kilicho fanywa na Hamza cha kuuwa Askari Polisi watatu ? na kuona kama kitendo hicho kilicho fanywa na Hamza dhidi ya Polisi ni cha kishujaa?!!!
Jeshi letu lazima litupie macho makali kwa hawa wahuni wachache.
 
26 August 2021
Upanga, Jijini Dar es Salaam
Tanzania


WATU WANAOMFAHAMU HAMZA PAMOJA NA FAMILIA KWA UNDANI , WAZUNGUMZA WANAYOFAHAMU KUHUSU MAISHA YA KILA SIKU YA HAMZA


Amezaliwa wapi, shule akasoma wapi ndani na nje ya nchi, muda wake akiwa vijiweni, siku mgodi ukitema madini Hamza hufanya nini, story zake akiwa na washikaji zake mtaani n.k
Source : TIKI TV
 
Back
Top Bottom