Upande wa pili Wanafosi mwaliko kwanini

Upande wa pili Wanafosi mwaliko kwanini

Wakristo walialikwa sebuleni wameingia mpaka chumbani.

Walivyokuwa wanapelekewa viporo vya futari na daku wamezoea na sasa wanaona ni haki yao.

Eti unakuta mkristo anagongea kanzu ili aende akafuturishwe, ni ushamba!

Nionavyo mimi ni kwamba waislamu wana utamaduni wa kula kifamilia tofauti na wakristo, hivyo hawana jadi ya uchoyo. Wakristo chakula kinawachanganya sana!
Umeandika kwa makasiriko sana 🤣
Kunywa maji kwanza, hakikisha n masafi na salama ili upunguze stress ulizonazo
 
utakuwa na asili ya uchoyo na wala sio mwislamu bali umezaliwa na wazazi waislamu.
Waislamu na wakiristo wamekuwa wakishirikiana kipindi kirefu sana na hakuna anayefosi mwaliko.
 
Back
Top Bottom