mwaibile
JF-Expert Member
- Nov 16, 2022
- 1,321
- 3,168
- Thread starter
- #41
Yaa huwa tunatamaduni kualikana ila siyo mpaka sasa unakodi na kanzu kabisa 🤣ya kwenda kulia ubwabwa ila wengi wanasema pilau la waislamu huwaga tamu sana na mara nyingi sikuku ya kama eid nyumba nyingi huwaga wanapikaga chakula kingi sana na kisha kugawa baadhi kwa majiraniutakuwa na asili ya uchoyo na wala sio mwislamu bali umezaliwa na wazazi waislamu.
Waislamu na wakiristo wamekuwa wakishirikiana kipindi kirefu sana na hakuna anayefosi mwaliko.