Habari wadau,
Nomba tuchangie hili na vipi tuta ipress serekali kuingilia kati katika biashara hii huria.
Jana nimetoka kazini nikipita sehemu kununua gas ajili ya matumizi ya nyumbani,nilinunua gas kwa tsh 52,000 na yule muuzaji akaniambia kuanzia jumatano gas itakua inauzwa tsh 58,000 roho iliniuma sana na kutamani kulia, maana maisha yanazidi kua magumu,vitu vya msingi ambazo ni basic needs zinapanda bei na serekali ipo kimya tu.mishahara ni midogo na uongezekaji kwake ni kugumu pia.Mwaka 2009 ile gas ya klo 15 ilikua inauzwa tsh 12,000 leo ni Tsh 52,000 hivi hii ni sawa kweli?Free market inapaswa kuoperate lakini katika uchumi wowote duniani hamna 100% free market cse kuna vitu vingine lazima serekali iingilie kati ili watu waweze ku afford gharama za masiha,bei ya mkaa kwa gunia sasa ni tsh 45,000. Kusema kweli maisha ni magumu sana. Nchi zilizoendelea vitu kama gas na vyakula ni rahisi sana sababu hivi ni basic lakini kwetu inakua tofauti.Jamani serekali ipo wapi,au haya ndo maisha bora kwa kila mtanzania? INAUMA NA KUTIA HASIRA.
Nomba tuchangie hili na vipi tuta ipress serekali kuingilia kati katika biashara hii huria.
Jana nimetoka kazini nikipita sehemu kununua gas ajili ya matumizi ya nyumbani,nilinunua gas kwa tsh 52,000 na yule muuzaji akaniambia kuanzia jumatano gas itakua inauzwa tsh 58,000 roho iliniuma sana na kutamani kulia, maana maisha yanazidi kua magumu,vitu vya msingi ambazo ni basic needs zinapanda bei na serekali ipo kimya tu.mishahara ni midogo na uongezekaji kwake ni kugumu pia.Mwaka 2009 ile gas ya klo 15 ilikua inauzwa tsh 12,000 leo ni Tsh 52,000 hivi hii ni sawa kweli?Free market inapaswa kuoperate lakini katika uchumi wowote duniani hamna 100% free market cse kuna vitu vingine lazima serekali iingilie kati ili watu waweze ku afford gharama za masiha,bei ya mkaa kwa gunia sasa ni tsh 45,000. Kusema kweli maisha ni magumu sana. Nchi zilizoendelea vitu kama gas na vyakula ni rahisi sana sababu hivi ni basic lakini kwetu inakua tofauti.Jamani serekali ipo wapi,au haya ndo maisha bora kwa kila mtanzania? INAUMA NA KUTIA HASIRA.