Hiyo 25,000/- wanasema ni kwa ajili ya malipo ya nini?
Zantel wameanza kutoa huduma mikoani. Sifahamu bado idadi kamili ya sehemu inapopatikana huduma ya wireless Internet ya Zantel.
Wakati TTCL wanatoza 260 per MB, Zantel ni 55/MB
.
Nadhani 25,000/- za mwanzo ni kwa ajili ya kupewa modem.
Mimi TTCL ilishanishinda siku nyingi! Mafundi wa TTCL waliniambia kuwa tatizo ni modem (disc-shaped) walizozitoa mwanzo. Wakanishauri ninunue modem mpya (wkt huo) ambazo walikuwa wakija nazo "ku-boost" modem yangu. Niliwaambia: "ikiwa ninyi mafundi wenyewe mnanishauri kubadili modem, nami hiyo modem nimeinunua kwenu, k/nini ninyi msiushauri utawala utubadilishie hizi modems?" Walinishauri niandike barua ambayo itahusisha ushauri wao huo (wa kubadilishiwa modem). Nilandika barua, na kweli nikabadilishiwa. Modem mpya haikuwa na matatizo, kasheshe ikawa matumizi! TTCL ilinishinda!!
Zantel nao walianza vizuri, lkn nadhani walikuwa ktk promotion kwani charges zao ziko juu hivi sasa! Nadhani nayo itanishinda.
Sijui tukimbilie wapi?!
Hiyo 25,000/- wanasema ni kwa ajili ya malipo ya nini?
Zantel wameanza kutoa huduma mikoani. Sifahamu bado idadi kamili ya sehemu inapopatikana huduma ya wireless Internet ya Zantel.
Wakati TTCL wanatoza 260 per MB, Zantel ni 55/MB
.
nenda pale extelecom watakufa report ya matumizi yako ya mtandao na jinsi unavyonunua hizo vocha ukipata hiyo sasa utaweza kulalamika au kunyamaza au kuamua kuchukuwa hatua zaidi au piga 104
Zantel wameanza kutoa huduma mikoani. Sifahamu bado idadi kamili ya sehemu inapopatikana huduma ya wireless Internet ya Zantel.
Wakati TTCL wanatoza 260 per MB, Zantel ni 55/MB
.
Jamani TTCL broadband mnatufilisi wateja wenu. Sisi ni wateja wenu wa miaka mingi sana. Sasa hii tabia mlioianzisha hivi karibuni sio nzuri kabisa. Tukiweka pesa kwa ajili ya internet ya Broadband baada ya wiki 2 mnafunga hata kama kuna hela imebaki. Halafu tukiwafuata mnasema tulipie shilingi elfu 25,000/- hivi mnafikiri pesa zinaokotwa? Mwezi uliopita nimelipia sh. 25,000/- mwezi huu mmenikatia tena mnaniambia nilipie tena sh. 25,000/- bado sijaweka hiyo vocha ya sh 10,000/-. Huo ni wizi wa kimachomacho. Mimi ni mwananchi wa kawaida wa kipato cha chini nimebahatika kuwa na line na simu nikabahatika kuwa na computer yangu ya Pentium lll na nikaamua kuweka na internet sasa kwa mtaji huo mnaotupeleka wa kulipa pesa nyingi hatutaweza. Tulitegea TTCL ni ya serikali ipo kwa manufaa ya wananchi wote kumbe tumekosea inawalenga wenye nazo. Tunaomba mjirekebishe. Mnatuumiza kwa mwendo huo.
Mkuu pole sana.
Mimi mwenyewe nilikuwa nakumbwa na msuko suko kama huu lakini nilihama siku nyingi sana hao TTCL wababaishaji hama mkuu nenda ZANTEL wana bei chee kuliko hao wanao jiita wazarendo kumbe ndo wakabaji wakubwa.
Ususe huo mtandao hama utafilisika kila mwezi watakuwa wanakukamua bado charges zao kubwa sana.
Asante. Wamejisahau kuwa biashara ni ushindani.
Ndo tatizo letu sisi wa TAnzania eti kwa vile ni shirika la umma basi wao wanajali matumbo yao kujaa kazi wanasahau.
Angalia mfano zile cmu za mkononi za kwao TTCL leo hii katika soko zimeporomoka sana utamwona mmoja mmoja anayo wameshindwa kabisa utendaji....Hivi huu uozo nani anaweza kuifumua TTCL pale rais au nani?Afanye timua timua na kuweka management mpya..
Jamani TTCL broadband mnatufilisi wateja wenu. Sisi ni wateja wenu wa miaka mingi sana. Sasa hii tabia mlioianzisha hivi karibuni sio nzuri kabisa. Tukiweka pesa kwa ajili ya internet ya Broadband baada ya wiki 2 mnafunga hata kama kuna hela imebaki. Halafu tukiwafuata mnasema tulipie shilingi elfu 25,000/- hivi mnafikiri pesa zinaokotwa? Mwezi uliopita nimelipia sh. 25,000/- mwezi huu mmenikatia tena mnaniambia nilipie tena sh. 25,000/- bado sijaweka hiyo vocha ya sh 10,000/-. Huo ni wizi wa kimachomacho. Mimi ni mwananchi wa kawaida wa kipato cha chini nimebahatika kuwa na line na simu nikabahatika kuwa na computer yangu ya Pentium lll na nikaamua kuweka na internet sasa kwa mtaji huo mnaotupeleka wa kulipa pesa nyingi hatutaweza. Tulitegea TTCL ni ya serikali ipo kwa manufaa ya wananchi wote kumbe tumekosea inawalenga wenye nazo. Tunaomba mjirekebishe. Mnatuumiza kwa mwendo huo.
Chanzo ni serikali haramu hii ya sisiemu ambayo inaihujumu kampuni yake binafsi kwa kubadilisha management kila kukicha na kuweka management ya kitapeli.
Ni aibu kusema lakini ndio ukweli kwamba serikali hii imetaka kuhakikisha kuwa TTCL inakufa.
Wana lao jambo.