kajirita
JF-Expert Member
- Jul 27, 2013
- 1,575
- 635
Issue hii isihusishwe CCM ,maana matendo ya baadhi ya polisi hayachagui wewe ni chama gani.Unapoteza maudhui unapoilalamikia CCM.Hata mimi sifurahii matendo hayo maovu,recruitment system ya police ni very poor indeed.Some thing must be done to rescue the situation,hawa Tigo ndio usiseme ,wamejaa dhuluma miilini mwao.Malipo ni hapa hapa duniani.
Mkuu,
Wewe unafikiri nani atatatua tatizo hili zaidi ya serikali ya CCM?
CCM ndio imepewa ridhaa ya kuongoza nchi na badala ya kuchagua viongozi wazuri kuongoza jeshi ,imechagua wajomba zao wala rusha!!Sasa hajulikani nani baba nani mama nani mtoto ,wote wana ndevu kama kambale!
Viongozi wa kitaifa wako bize na "wakina mama wa vichochoroni tu"
CCM ni janga la taifa!!