Wapigwe tu risasi maana hakuna namna nyingine.Polisi ni uozo uliokithiri, wanalazimisha hadi rushwa ya shs elfu moja!sijui hii ni njaa au tabia na kamfumo ka kila mtu kufanya anavyoweza chini ya manifesto ya ccm, make haka kautaratibu kamezoeleka!dawa ni kubadilisha uongozi na kuwa na viongozi walio serious sio hawa ambao wameshindwa kwa kila kitu!najisikia vibaya kuitwa mtanzania wa sasa!!!!!!!!!!!!!
Freedom is coming tomorrow