Naandika haya wakati vijana wamachinga wakianza kujenga mabanda yao upya pembezoni mwa barabara.
Ni ukaidi kwa maelekezo ya Rais. Ni uvunjaji sheria uliopitiliza kwa watu kuonywa na kutolewa eneo husika kwa sababu husika na kukaidi.
Je, wamachinga wa maeneo mengine waliotolewa sio wa muhimu kama wa Mbezi Luis?
Kulikuwa na sababu gani ya kuvunja vibanda vya awali?
Tusipofanya maamuzi thabiti na kuchukulia hatua wazembe hatutapiga hatua hata moja mbele.
Ni ukaidi kwa maelekezo ya Rais. Ni uvunjaji sheria uliopitiliza kwa watu kuonywa na kutolewa eneo husika kwa sababu husika na kukaidi.
Je, wamachinga wa maeneo mengine waliotolewa sio wa muhimu kama wa Mbezi Luis?
Kulikuwa na sababu gani ya kuvunja vibanda vya awali?
Tusipofanya maamuzi thabiti na kuchukulia hatua wazembe hatutapiga hatua hata moja mbele.