Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Uongozi wa magufuli wa awamu ya tano umeacha madoa na makovu mabaya sana katika historian ya taifa letu. Ni kweli alijenga miundo mbinu lakin mabaya aliyoyafanya yanafunika hayo mazuri. Imagine mpaka viongozi wa dini waliwekwa kwenye tagert ya hit list.
Mwingira anaweza akawa asiwe wa mwisho tunaiomba serikali kupitia vyombo vyake vya udhibiti watu aina ya magufuli wasipewe milele uongozi wa juu katika taifa letu hasa katika nyakati hizi ambapo hatuna katiba bora.
Mwingira anaweza akawa asiwe wa mwisho tunaiomba serikali kupitia vyombo vyake vya udhibiti watu aina ya magufuli wasipewe milele uongozi wa juu katika taifa letu hasa katika nyakati hizi ambapo hatuna katiba bora.