Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,906
- 945
UONGOZI UWT TAIFA WARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM JIMBO LA MANONGA
UWT Taifa Washambulia Kata 8 Jimbo la Manonga na Kukagua Utekelezaji wa Ilani ya CCM ambapo Mjumbe wa Halmashauri Kuu Taifa Bi Asya Ali Khamis Atembelea Jimbo la Manonga Kata ya Choma katika Ziara ya Kukagua Miradi ya Maendeleo
Sambamba akiambatana na Wajumbe wenzake toka Halmashauri Kuu Taifa Mh Subira Mgalu, Mjumbe wa Kamati Utekelezaji UWT Taifa ambaye alifika Kata ya Nyandekwa, Mjumbe wa NEC Bi. Joyce lyoba Mang’o Kata ya Nkinga na Mwisi.
Vilevile, Kata ya Mwashiku na Ngulu ilitembelewa na Ndugu Nadra Gulam Rashid MNEC. Kata za Ziba na Ndembezi zilitembelewa na Mjumbe wa Kamati Utekelezaji UWT Taifa Bi. Mariam Said Khamis
Viongozi UWT Taifa wamesema kuwa Wameridhishwa na Utekelezaji na Wamempongeza Mbunge wa Jimbo la Manonga, Mhe. Seif Gulamali kwa kuwa karibu na Wananchi wake huku kasi ya maendeleo kwenye Elimu, Afya, Barabara, na Maji vikishamiri Jimboni
Attachments
-
WhatsApp Image 2023-08-19 at 13.25.52.jpeg111.2 KB · Views: 1
-
WhatsApp Image 2023-08-19 at 13.25.53.jpeg154.8 KB · Views: 1
-
WhatsApp Image 2023-08-19 at 13.25.49.jpeg80.1 KB · Views: 1
-
WhatsApp Image 2023-08-19 at 13.25.48.jpeg101.4 KB · Views: 1
-
WhatsApp Image 2023-08-19 at 13.25.49(1).jpeg135.6 KB · Views: 1
-
WhatsApp Image 2023-08-19 at 13.25.51(1).jpeg80.5 KB · Views: 1
-
WhatsApp Image 2023-08-19 at 13.25.45.jpeg76.3 KB · Views: 1
-
WhatsApp Image 2023-08-19 at 13.25.47(1).jpeg88.1 KB · Views: 2