Uongo wa majority hugeuka kuwa ukweli pia.

Uongo wa majority hugeuka kuwa ukweli pia.

Something to add, mnao fikiri kuwa ninakuja humu kutafuta attention mnakosea sana. Niko humu kuona how akili za watanzania zinavyo operate. Niko kujifunza zaidi
 
Akili yako mwenyewe bado hujajua how ina-operate za kwetu utaziweza mwanetu?
Hahahaha.. Ndo maana nikasema niko on a learning journey, kuna patterns nzuri sana zinajiweka wazi bila watu kujua.
 
Also, yule de Gunner wa drama alishapotea mazima, sasa kaingia Gunner wa application pekee. I will never curse anyone sita ongea na kuleta battle za kitoto maana hilo somo nimesha graduate
 
Uongo hauwezi kuwa kweli au kubadilishwa kuwa Kweli.
Uongo ni uongo.
Na ukweli ni ukweli.

Ila watu wanaweza kuuona Uongo kama ni kweli.

Kwa sababu macho huathiriwa na mambo mengi
 
Something to add, mnao fikiri kuwa ninakuja humu kutafuta attention mnakosea sana. Niko humu kuona how akili za watanzania zinavyo operate. Niko kujifunza zaidi
Ulisemaga mwenyewe mpaka ukaanzisha na uzi kabisa. Kijana una shida sana. One unavyogeuka tambala la deki sasa
 
Exactly bora wewe umeiona hilošŸ˜‚ na inalipa kinyaa, ssio kwa wengine bali kwangu ninayeona tension zinavyo kuwa na kushuka
Zamani ulikuwa unatumia jina gani hapa jf, maana ni kama umekimbia identity yako na kutafuta nyingine
 
Zamani ulikuwa unatumia jina gani hapa jf, maana ni kama umekimbia identity yako na kutafuta nyingine
Nili ingia humu mpole sana 2021 nikaweeka malengo ya kutumia ID fake katika advantage yangu na sasa ni naona matunda
 
Back
Top Bottom