Poleni na hili sakata la mafuta wanajamiiforums, mimi nna swali moja naomba kuuliza. Hivi uongo una nafasi gani kwenye mahusiano, au ni kweli kwamba wakina dada wengi wanapenda kudanganywa?
Ni kweli kabisa kuwa mabinti wanawapenda sana watu waongo! Mara nitakununulia......
Kwetu ni.........
Nitaku......
Baba yangu ni.......
Mjomba wangu, kaka yangu, mara mama yangu. Wanapenda uongo kuliko ukweli.
Na wanaume waongo na wanaopenda sifa nyingi ndo wanaopoa mademu wazuri kwa asilimia kubwa!
<br />Poleni na hili sakata la mafuta wanajamiiforums, mimi nna swali moja naomba kuuliza. Hivi uongo una nafasi gani kwenye mahusiano, au ni kweli kwamba wakina dada wengi wanapenda kudanganywa?
Yeahh danganya mpaka jina na rangi ya ngozi yako!!