Uongo gani unaukumbuka kutoka kwa Wanasiasa kwenye Chaguzi zilizopita?

Nyendo

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
1,194
4,115
IMG_20240320_031907_991.jpg
Wakati wa Kampeni cha Uchaguzi, baadhi ya Wagombea hutumia mbinu za kuzusha Uongo kwa kuwadanganya Wananchi ili kuongeza Ushawishi wa Kuchaguliwa

Je, Uongo gani unaukumbuka kutoka kwa Wanasiasa kwenye Chaguzi zilizopita?
 
Ninachokumbuka ni kwamba wanasiasa wote ni waongo.

Hakuna mkweli hata mmoja.

Na hiyo ni sababu ya ulafi wa madaraka.
 
Labda Swali lingekua “ni ukweli gani unaukumbuka??”

Politics ni chumvi towards a certain direction ya nchi…

Politics ni Kama nyimbo wanazoimba wakulima wakiwa shambani, au wanajeshi wakiwa vitani….

Ndio maana if we want to develop, lazima tuweke siasa pembeni
 
Ilikuwa mwaka 1996 walisema ikifika mwaka 2000 tatizo la maji nchini itakuwa ni historia
 
Labda Swai lingekua “ni ukweli gani unaukumbuka??”

Politics ni chumvi towards a certain direction ya nchi…

Politics ni Kama nyimbo wanazoimba and wakulima wakiwa shambani, au wanajeshi wakiwa vitani….

Ndio maana if we want to develop, lazima tuweke siasa pembeni
Nakuuliza hapa hapa, unakumbuka ukweli gani?
 
Ninachokumbuka ni kwamba wanasiasa wote ni waongo.

Hakuna mkweli hata mmoja.

Na hiyo ni sababu ya ulafi wa madaraka.
Kwamba kila kilichopo kwenye siasa ni uongo?
 
View attachment 2939564
Wakati wa Kampeni cha Uchaguzi, baadhi ya Wagombea hutumia mbinu za kuzusha Uongo kwa kuwadanganya Wananchi ili kuongeza Ushawishi wa Kuchaguliwa

Je, Uongo gani unaukumbuka kutoka kwa Wanasiasa kwenye Chaguzi zilizopita?
Mwanasiasa mmoja alisema nitawajengea daraja...watu wakashangaa....wakamwambia hapa hakuna mto...mwanasiasa akasema na mto nitawaletea!🙂
 
Back
Top Bottom